Mkifanya hivi tutavaa kiheshima

Mkifanya hivi tutavaa kiheshima

happiness win

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
2,461
Reaction score
1,394
1. Kuanzia leo mwanamume yeyote asitongoze wala kumsemesha chochote mdada atakayevaa nusu uchi...
2 Usimtazame wala kumtolea mimacho mwanamke yeyote aliyevaa nusu uchi.
3 Usimsalimie wala kumwonyesha sura ya matamanio
4 usimsifie kuwa kapendeza wala uzuri wake
5 Usimpishe kiti kwenye daladala
6 Usimpe lifti kwenye gari au boda boda yako.....
7 Usimruhusu apande dala dala yako, Bajaji, wala pikipiki yako ,
8 Usimsogelee wala kumuuliza chochote.
9 Usimtamani yeyote aliyepaka mkorogo na kuwa kama papai bovu.

.....mengine jazieni wandugu

Kama hamtafanya hivi acheni kelelele ... pigeni kimywaaaaa

 
Kwa hiyo ww unavaa hivyo kwa hayo mambo uliyosema hapo juu?
 
mmh sidhan kama itawezekana.
labda aje roho mtakatifu
 
Yaani kweli kabisa umekaa ukaushirikisha ubongo wako ukaona this shit is worth sharing!!!??
 
Watu waachwe wavae wapendavyo bana.

Ya nini kupangiana?
 
1. Kuanzia leo mwanamume yeyote asitongoze wala kumsemesha chochote mdada atakayevaa nusu uchi...


Hivi kwa nini huu ugonjwa wa kuvaa nusu uchi ni maarufu huko mijini ? huku vijijini wadada wanavaa kwa heshima.
 
1. Kuanzia leo mwanamume yeyote asitongoze wala kumsemesha chochote mdada atakayevaa nusu uchi...
2 Usimtazame wala kumtolea mimacho mwanamke yeyote aliyevaa nusu uchi.
3 Usimsalimie wala kumwonyesha sura ya matamanio
4 usimsifie kuwa kapendeza wala uzuri wake
5 Usimpishe kiti kwenye daladala
6 Usimpe lifti kwenye gari au boda boda yako.....
7 Usimruhusu apande dala dala yako, Bajaji, wala pikipiki yako ,
8 Usimsogelee wala kumuuliza chochote.
9 Usimtamani yeyote aliyepaka mkorogo na kuwa kama papai bovu.

.....mengine jazieni wandugu

Kama hamtafanya hivi acheni kelelele ... pigeni kimywaaaaa

imekaa kama amri kumi za Mungu vile
 
ah mambo gani hayo...ukivaa kunyegesha wanaume lazima ugegedwe na utupiliwe mbali
 
uuuuuuuuupsi pole yako

WENGINE WANAPENDA WAVAA UCHI....

usichokipenda wewe mwenzio anapenda.....

kikubwa tafuta yule wa kuvaa unavyopenda.
 
Back
Top Bottom