Briancah
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 1,135
- 2,465
🤣msivyojali sasaSasa hiyo sumu ndo kivipi?!
🤣msivyojali sasaSasa hiyo sumu ndo kivipi?!
Wewe bhna mi sio mwoga naweza kujitetea vizuri sanaJaribu kuchukua mke wa mtu chief halafu mumewe akufumeni ndio utajua nani mshindi.
Kupanda daladala na mmewe na mtoto wao mchanga ni dalili ya umasikini tuJana nimepanda daladala ile kuingia tu nikakaa siti moja na mdada kumbe yeye ananifaham na mimi nilishamsahau, kumbe niliwahi kufanya nae kazi kipindi flani, akaanza kunichangamkia kwa stori mbili tatu, hapo hapo konda kudai nauli nikamlipia na yeye.
Kumbe bwana yule dada siti ya nyuma alikuwa amekaa mumewe na mtoto wao mchanga aloo, ile konda anadai nauli siti ya nyuma mumewe nae akalipa ila konda akamwambia huyo dada hapo mbele kashalipiwa.
Mumewe akawa anawasiwasi kalipiwa kivipi, ile wanashuka yule dada kuniaga mumewe kanikata jicho sio la nchi hii
Na kwa bahati nzuri sikuomba hata namba ya sim sijui ningeomba ingekuwaje aloo, , ila niwasihi tu mkifika mahali mkakuta wanawake wamekaa sehem msome kwanza mazingira wengine huwa wapo karibu na waume zao
Konda mwaminifuKonda kamwaga mboga
Huyo dada ni malayer, hawezi kuwa na mume wake akakuchangamkia zaidi ya kukupa salam tuu haijalishi wamekaa siti tofautiJana nimepanda daladala ile kuingia tu nikakaa siti moja na mdada kumbe yeye ananifaham na mimi nilishamsahau, kumbe niliwahi kufanya nae kazi kipindi flani, akaanza kunichangamkia kwa stori mbili tatu, hapo hapo konda kudai nauli nikamlipia na yeye.
Kumbe bwana yule dada siti ya nyuma alikuwa amekaa mumewe na mtoto wao mchanga aloo, ile konda anadai nauli siti ya nyuma mumewe nae akalipa ila konda akamwambia huyo dada hapo mbele kashalipiwa.
Mumewe akawa anawasiwasi kalipiwa kivipi, ile wanashuka yule dada kuniaga mumewe kanikata jicho sio la nchi hii
Na kwa bahati nzuri sikuomba hata namba ya sim sijui ningeomba ingekuwaje aloo, , ila niwasihi tu mkifika mahali mkakuta wanawake wamekaa sehem msome kwanza mazingira wengine huwa wapo karibu na waume zao
Umenikumbusha sikumoja nilikuwa na mume wangu bana kwa daladala..
Sasa tulisimama wote, akatokea jamaa mmoja akanipatia siti, alafu akawa ananiangalia kimahaba
Nilivyokaa tu mmewangu akanipa begi lake nimshikie alafu akawa kama anasura ya wivu, mi nageuka dirishani najificha na pochi nachekaaa jamani
Kaka yule akawa ananiangalia balaa, najificha na pochi ili asiniongeleshe...
Nikikumbuka nacheka sana.