mongoli
JF-Expert Member
- Feb 25, 2024
- 395
- 920
asee kwamba huyo mwanamke jamaa ataenda nae kila mahali mwanamke kama anajielewa anajielewa tu kama ni kwa kuliwa ataliwa hata bila kulipiwa nauliHuna kosa mkuu huyo mwanaume kama angeleta shida nae angekuwa mbweha tu kwa sababu hukuwa unamjua. Huyo mkewe nae chenga kwa mwanamke mwenye akili kwenye mazingira kama hayo angekutambulisha au angekujulisha yupo na baba watoto usilipie nauli.