Samahani
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 222
- 335
Kuna pahala nimeiona hii ikaitoa akili yangu kwenye ufanisi ghafla... Hivi hii imekaaje, unafanya maamuzi magumu kuoa / kuolewa na mtu ambaye amekwisha zaa na mtu mwingine kabla yako...
Ile mmekaa kwa kutulia, unakutana na kauli ngumu kama hii kutoka kwa "wa zamani"...
Mkeo wewe ni mama watoto wangu tu....
Mmeo wewe ni baba watoto wangu tu....
Ile mmekaa kwa kutulia, unakutana na kauli ngumu kama hii kutoka kwa "wa zamani"...
Mkeo wewe ni mama watoto wangu tu....
Mmeo wewe ni baba watoto wangu tu....