Mkeo ana bodaboda wake?


Wao umbea wao ni kupeleka Kwa wamama
Wakiwa na matumaini kuna siku watapewa
 

boda anakupeleka sehemu akishakushusha haondoki mpaka amuone uliemfata au aone unapoelekea woooi
 
Mama mwenye nyumba ana bodaboda wake anamtumaga sokoni kununua kila anachohitaji hata kusubiri kukuniwa nazi! Baba mwenye nyumba hajui hili..... itabidi nimjulishe ikibidi aje kusoma huu uzi!!
 
Mi ninao bodaboda wangu watatu, mmoja wa kunipeleka chocho zangu huyu sio mmbea, mwingine kwa ajili ya kumuagiza tu na wa 3 ni wa dharura ikitokea hao wawili wako mbali
Huyo wa chocho ndiye mwenyewe
anakufahamu A-z
 
Jamaa aliharibu asee ushamba na haraka
ningekuwa mm tungeenda pole pole kimasihara hata miaka 5 poa tu mwisho ningekuingia..ukaniamni hadi ukawa hauna cha kuninyima.mwisho ungekuwa zaidi ya dada na rafiki
 
Mama mwenye nyumba ana bodaboda wake anamtumaga sokoni kununua kila anachohitaji hata kusubiri kukuniwa nazi! Baba mwenye nyumba hajui hili..... itabidi nimjulishe ikibidi aje kusoma huu uzi!!
Acha umbea mkuu
 

Una toa Sana Tip ??
 
Nina boda boda wawili na ni waaminifu Tena siku nyingine huwapa Hadi tip na ninaweza mtu Hadi sokoni.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…