Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,040
- 103,461
Unajua tatizo kubwa la watanzania kwa sasa ni kujawa na visasi vilivyopitiliza.
Wanaufumbia macho ukweli kisa tu waliguswa na Magufuli sehemu fulani.
Kwa unafiki iliouonyesha CCM hii.
Kwa mtu yeyote makini nchini huwezi kaa kimya bila kuhoji.
Ulipaswa kuhoji toka wakati magufuli anaendesha ukatili hapa nchini. Hilo bunge kibogoyo ni matunda ya utawala wake wa kidhalimu. Sasa unataka nani ahoji huo wizi? Alipokuwa anapiga marufuku mikutano ya vyama vya upinzani uliona anafanya jambo la maana, sasa kaotesha mbegu ya kutokuhojiwa serikali unashangaa uhuni kufanyika.