Mke wangu nimemtimua leo

Wazee wa zamani walinena 'kuchapiwa ni siri ya ndani' , ungemezea tu. Ila la kuanza kumpenda Mama yako mzazi sijaelewa... ulikuwa humpendi au unataka kumpa mapendo gani zaidi wakati upendo wa mzazi upo tu kiasili...!!!
 
Una balaa kubwa wewe,unahamishia mapenzi yako kwa mama yako? Dunia bye bye
 
Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.
Dah..Kwanini na wewe usimchapie bana? Huu ni udhaifu..🙂
Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu

Dah...dadeki..🙄
 
Siyo Pointi, kama hulidhiki na mwenza wako ni bora kuvunja ndoa kuliko kuzini nje ya ndoa.. Kosa hili ghalama yake ni kubwa sana.
 
Ni uamuzi tu ila ulihakikisha kuwa anakusaliti? Usije Kujutia baadae
 
Ungekuwa haun shida naye usingeanzisha uzi.
 
Pole sana,jipe moyo mkuu hauko peke yako.Uvumilivu kwenye ndoa ni zaidi ya ushujaa wa vita kuu ya pili ya dunia.
 
Kila kitu ulichokuwa unapewa na mke wako utapewa na mama yako? Pengine na yeye aliona unamapenzi na mama ndiyo maana akatafuta na yeye wa kumpa mapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…