Hata saluni na sokoni haendi? Kitchen party na vicoba je? Msiba wa rafiki au ndugu yake na fulani?Bora aendelee kuwa mama wa nyumbani ila kwa kumruhusu aende kujiongeza kielimu nadhani nikujitafutia pressure ya moyo tu.
una manisha usitishike na Rangi ya Nje ya gari maana linaweza kung`aa kwa nje lakini Kilometer zinasoma 500,000Weka picha aonekane.je ni bikira? Ngoja aanze kwenda buchani.genge la mkaa hata kanisani akianza kuimba kwaya lazima atekenywe
Yan ww n kilaza kinyama.....yan mke asisome tena kisa wivu wakoBora aendelee kuwa mama wa nyumbani ila kwa kumruhusu aende kujiongeza kielimu nadhani nikujitafutia pressure ya moyo tu.
UNADHANI ANAFANYWA KWASABABU NI KISURA? HIYO NI TABIA NDUGU, HAINA DAWA....HATA ANGEKUWA NA SURA KAMA GOTI, ATATONGOZWA NA ANAWEZA FANYWA VILEVILE.....Mwanamke hachungwi ndugu....Bora aendelee kuwa mama wa nyumbani ila kwa kumruhusu aende kujiongeza kielimu nadhani nikujitafutia pressure ya moyo tu.
Kwa hali hii mkuu huyu jamaa itabidi atafute sayari nyingine ya kuishi pamoja na kisura wake. Lakini si kwa hapa duniani. Labda tena si kwa uhakika kabisa awe anamfungia ndani yeye anapotoka. Kumdibiti binadamu aliyeumbwa na mungu na akapewa akili yake si jambo linalowezekana.Hata saluni na sokoni haendi? Kitchen party na vicoba je? Msiba wa rafiki au ndugu yake na fulani?
Hizo point ndio wanakochapwa hasa...!
Wazee wanasema kama ipo, ipo tu! Sioni ubaya wa kujiendeleza kwakeBora aendelee kuwa mama wa nyumbani ila kwa kumruhusu aende kujiongeza kielimu nadhani nikujitafutia pressure ya moyo tu.
Nakwanea huruma sana!!! kuna msemo unasema MKE/MCHUMBA HASOMESHWIBora aendelee kuwa mama wa nyumbani ila kwa kumruhusu aende kujiongeza kielimu nadhani nikujitafutia pressure ya moyo tu.
Sawa! Kila nyumba na katiba/makubaliano yakeBora aendelee kuwa mama wa nyumbani ila kwa kumruhusu aende kujiongeza kielimu nadhani nikujitafutia pressure ya moyo tu.
Ndo maana yakeWeka picha aonekane.je ni bikira? Ngoja aanze kwenda buchani.genge la mkaa hata kanisani akianza kuimba kwaya lazima atekenywe
Ndo maana yakeWeka picha aonekane.je ni bikira? Ngoja aanze kwenda buchani.genge la mkaa hata kanisani akianza kuimba kwaya lazima atekenywe