Huyu wife wangu nampenda ila mara nyingi namkuta uchochoroni watu wamebambia, nimesema mpaka nimechoka ila nashindwa kumuacha kwakuwa ni mnyenyekevu sana kwangu na mpiganaji sana katika maisha.
Kweli hili ni zigo la mpumbavu,ulibeba mwenyew n kama zigo la mavi hakuna wa kukusaidia utalibeba mwenyew. Yani unawaibisha wanaume wenzako ivi.Aki vile waombe msamaha kweli maan c kwa ujinga huu.
Huyu wife wangu nampenda ila mara nyingi namkuta uchochoroni watu wamebambia, nimesema mpaka nimechoka ila nashindwa kumuacha kwakuwa ni mnyenyekevu sana kwangu na mpiganaji sana katika maisha.
YAANI JF KUMEKUWA KUBAYAAA JITU LINAAMKA NA UKWASI HATA MSWAKI HALIJAAMSHA LINAWAZA KULETA PUMBA HAPA JF WEWE MLETA UZI ACHA KUPOTEZA MUDA KWA MAMBO YA KIJINGA MKE WAKO UNATUELEZEA SIE UJINGA WENU ILI IWEJE WATRU TUNA MIPANGO YA MAANA WE UNALETA UCHAFU HAPA
Wewe una akili za kimumiani hata peponi huendi huna wivu au ww ni hanithi?kutwa kujionesha una mke kumbe una mkereketwa hahah.wacha wauni wakusaidie wew mshika paja