Mke wangu karudi akiwa amevaa chupi ya kiume!

hapo inaoneka jamaa hana sauti ila naona ushaidi na uamuzi ni juu yako maana unamuelewa mkeo hapa utapata maelezo au maelekezo yasiyokufaa na mengine yanayokufaa kabisa chekecha na uchukue maamzi
 
co talaka tatu tuu,na meno mdomoni maana wanawake wanachezea akili zetuu
Hamna kitu mhesahimiwa,tatizo mmezoea kumega mademu na wake za watu so mkimegewa mnopiga kelele,kifupi mwana amua mwenyewe,kwani yeye hajawahi kwenda kumega nje?kama ndio basi auchune tu!
 
"Amerudi saa 2.30 usiku kutoka kwenye mazoezi ya kwaya, wakati
anabadili nguo ndipo nilipomuona akiwa na nguo hiyo ya ndani ambayo
ilikuwa na maandishi kwenye ufito, TMK WANAUME FAMILY. Nilipomuuliza
kwanza alishtuka........ kisha akaniambia ameinunua mwenyewe. Nikamuuliza
kwanini chupi ya kiume, akajibu hakuna chupi ya kiume ila kuna chupi za
kike, hata ingekuwa hivyo mke wangu si mpenzi wa nguo za maandishi ya
ajabu na hiyo chupi sijawahi kumuona nayo hata siku moja! na si MPYA inaonekana
imetumika kwani kuna sehemu ina tobo lakini mke wangu kang'ang'ania
hakuna chupi za wanaume peke yao lakini zipo za wanawake peke yao
Kweli inanitia mashaka."

Ni mkasa uliomkuta Fundi ujenzi ambaye ananijengea banda langu la kuku hapa majohe.
Mwisho wa yote aliniomba ushauri juu ya nini cha kufanya.

Kama ni ya kiume na wala si yako, basi
1. Kuna mtu kampoka
2. Yake ilitumika kama leso.....imechafuka
3. Alitaka akuoneshe kwamba anajua kuimba hata kwaya ya aina hiyo!
 
huyo mwanamke most probably alikurupushwa huko alikokuwa, akatoka nduki kabla hajafuta ushahidi.. jamaa angemkagua, lazima angekuta vitu ndani ya kitu...
 
"Amerudi saa 2.30 usiku kutoka kwenye mazoezi ya kwaya, wakati
anabadili nguo ndipo nilipomuona akiwa na nguo hiyo ya ndani ambayo
ilikuwa na maandishi kwenye ufito, TMK WANAUME FAMILY. Nilipomuuliza
kwanza alishtuka........ kisha akaniambia ameinunua mwenyewe. Nikamuuliza
kwanini chupi ya kiume, akajibu hakuna chupi ya kiume ila kuna chupi za
kike, hata ingekuwa hivyo mke wangu si mpenzi wa nguo za maandishi ya
ajabu na hiyo chupi sijawahi kumuona nayo hata siku moja! na si MPYA inaonekana
imetumika kwani kuna sehemu ina tobo
lakini mke wangu kang'ang'ania
hakuna chupi za wanaume peke yao lakini zipo za wanawake peke yao
Kweli inanitia mashaka."

Ni mkasa uliomkuta Fundi ujenzi ambaye ananijengea banda langu la kuku hapa majohe.
Mwisho wa yote aliniomba ushauri juu ya nini cha kufanya.

Kwani kitu chochote ikiwa kimetumika lazima kiwe na tobo? Kamuulize lile tobo liko pale kwa ajili ya kupitishia nini.

 
"Amerudi saa 2.30 usiku kutoka kwenye mazoezi ya kwaya, wakati
anabadili nguo ndipo nilipomuona akiwa na nguo hiyo ya ndani ambayo
ilikuwa na maandishi kwenye ufito, TMK WANAUME FAMILY. Nilipomuuliza
kwanza alishtuka........ kisha akaniambia ameinunua mwenyewe. Nikamuuliza
kwanini chupi ya kiume, akajibu hakuna chupi ya kiume ila kuna chupi za
kike, hata ingekuwa hivyo mke wangu si mpenzi wa nguo za maandishi ya
ajabu na hiyo chupi sijawahi kumuona nayo hata siku moja! na si MPYA inaonekana
imetumika kwani kuna sehemu ina tobo lakini mke wangu kang'ang'ania
hakuna chupi za wanaume peke yao lakini zipo za wanawake peke yao
Kweli inanitia mashaka."

Ni mkasa uliomkuta Fundi ujenzi ambaye ananijengea banda langu la kuku hapa majohe.
Mwisho wa yote aliniomba ushauri juu ya nini cha kufanya.
We vipi! mbona bwana mmoja aliona ya mkewe ya rangi nyeupe na nyekundu imeandikwa chadema,akashangilia..PEOPLE,,mkewe akajibu..POWER..we vipi?
 
huu mkasa ni wako wewe mwenyewe mzeee, umeliwa mke tena na masharobaro wa bongo fuleva au wavuta bange. mtimizie mkeo haki ya ndoa ili atulie home, aache kuparamia wavuta bange, wasukuma tolori na walisha ng'ombe. pole.
Du!! kama ni hayo hakika noma
 
Back
Top Bottom