Kama umeshajua shirikiana naye mkajenge tu acha manenoHabar
Wanajamvi, maneno yafuatayo nimetamkiwa na Mke wangu usiku wa Leo,
"Nimenunua Kiwanja,na nataka kuanza ujenzi,ukiona inafaa waweza kunishauri"
Haya yananasemwa ikumbukwe sisi wenyewe hatuna nyumba ya kuishi ,
swali : ni vzur yeye aanze ujenzi wa kwake wakati hatuna pa kuishi na tuna watoto 2? Kwann anunue Kiwanja bila kunishirikisha? Naomba ushauri wenu tafadhari