UNIQUEMAN1
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 378
- 450
- Thread starter
-
- #21
Sawa mkuu ila yeye ndo msababishi. Hii kukaa zaiidi ya wiki hujasex mke anatoa sababu kibao?mda wa mchana anaongea weeee kula anaongea weeee,subir ufike mda wa kulala.mara mgongo mara tumboUsichepuke mkuu
Pole sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sio mashetani ni PEPO LA UTAMBUZI, HILO PEPO HATA MANABII FEKI HUWA WANALITUMIA, ANAKWAMBIA HISTORIA YAKO TABIA YAKO NA KILA KITU...HAPO LAZIMA AKUTOE HELA KWA KUWA ANAKUWA AMESHAKUTISHA.Atakua ana mashetani huyo.prove me wrong...
swali la msingi ni je?,unahisi suluhisho la mgogoro ni wewe kuchepuka?,be a gentlemanTuna mtoto mmoja wa kike. Tupo mkoa wa Dodoma.
Jana nimetoka kuchepuka kutokana na mke wangu kutonisikiliza na kujifanya na yeye ni mwanaume ndani ya nyumba.
Cha ajabu baada ya kurudi kutoka kwa huyo dem, kesho yake mke kaniambia ameota ndoto ambayo nipo na binti.
Kaanza kumuelezea hadi jina ili hali hawajuuani.
Kaelezea hadi alivyokuwa amesukwa . Je,huyu mke wangu ni mchawi?
Duuuuh wataalamu wa ndoto njooni tafadhali.
Lazma muelewe kwamba cc wanawake hatuwezi kuhimili mitombano kila siku at least mpitishie siku tatu ata nne... Sex kila cku inaboa....Sawa mkuu ila yeye ndo msababishi. Hii kukaa zaiidi ya wiki hujasex mke anatoa sababu kibao?mda wa mchana anaongea weeee kula anaongea weeee,subir ufike mda wa kulala.mara mgongo mara tumbo
Asikutishe mzee baba. Endelea kuchepuka hadi ukamatwe ukiingiza na kutoaTuna mtoto mmoja wa kike. Tupo mkoa wa Dodoma.
Jana nimetoka kuchepuka kutokana na mke wangu kutonisikiliza na kujifanya na yeye ni mwanaume ndani ya nyumba.
Cha ajabu baada ya kurudi kutoka kwa huyo dem, kesho yake mke kaniambia ameota ndoto ambayo nipo na binti. Kaanza kumuelezea hadi jina ili hali hawajuuani.
Kaelezea hadi alivyokuwa amesukwa . Je,huyu mke wangu ni mchawi?
Duuuuh wataalamu wa ndoto njooni tafadhali.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe hebu fikiria kama mtu mzima, wenye ndoto za hivyo walikufa karne za zamani. Huyo kajua hadi ulipoingia naye ndani, anakuogopa ndiyo maana katumia njia hiyoHamna mtu anayemjua mkuu, alitokea singida toka jumapili yupo Dodoma kikazi. Hata kama ni kumjua,hadi jina ataje??
Sent using Jamii Forums mobile app
Fafanua.Na mimi nipo hivyo jamani
Nakushauri ubonyeze simu yako ##21# ok uondoe tracking zote kwenye simu yako.Ni ushauri wa bure.Kujua kama unafuatiliwa sintakuambia hilo nakusaidia hapo tu.Tuna mtoto mmoja wa kike. Tupo mkoa wa Dodoma.
Jana nimetoka kuchepuka kutokana na mke wangu kutonisikiliza na kujifanya na yeye ni mwanaume ndani ya nyumba.
Cha ajabu baada ya kurudi kutoka kwa huyo dem, kesho yake mke kaniambia ameota ndoto ambayo nipo na binti.
Kaanza kumuelezea hadi jina ili hali hawajuuani.
Kaelezea hadi alivyokuwa amesukwa . Je,huyu mke wangu ni mchawi?
Duuuuh wataalamu wa ndoto njooni tafadhali.