Mke wangu kaniaga anaenda kwao kusalimia

sokoukwela

Member
Feb 6, 2014
10
1
Nimepiga kwao, mpaka sasa hayuopo, je atakuwa kachepuka au. Mchepuko wake naujua, je nikavamie muda huu
 
Unaishi na mtu unajua kabisa anachepuka? Tena na nani!!! Na unamuita mke? Umekamatwa makalio si bure...!!
 
Nimepiga kwao, mpaka sasa hayuopo, je atakuwa kachepuka au. Mchepuko wake naujua, je nikavamie muda huu

Hapa nahisi tunadeal na mwanadamu mwenye upungufu wa akili...!!!

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kilichoandikwa kwenye thread hii...
 
Kavamie uwakate kate mapanga......... tena naweka special order ya dushe na mbufanga nichanganye kwny pilau la xmas pls sokoukwela
 
Last edited by a moderator:
Nimepiga kwao, mpaka sasa hayuopo, je atakuwa kachepuka au. Mchepuko wake naujua, je nikavamie muda huu

this must be a joke au una ganzi.....siku zote unaujua na unaendelea na ndoa? ....if so vumilia tu jamaa akishiba kula tigo wafe atarudi.
 
Unaishi na mtu unajua kabisa anachepuka? Tena na nani!!! Na unamuita mke? Umekamatwa makalio si bure...!!

Kuna makabila hii kitu inakubalika na inaheshimika kabisa! S'thing very sacred! Mim hata simshangai jamaa, maana ni heri nusu shari kuliko shari kamili.
 
Hapa nahisi tunadeal na mwanadamu mwenye upungufu wa akili...!!!

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kilichoandikwa kwenye thread hii...

NA HAPA ANAMPA MTU USHAURI.....
[h=3]Nitajuaje kama mke wangu amenisaliti[/h] Started by ligera, Today 13:31
........
Anayejua mbinu ya kubaini kwamba mke kagegedwa aniambie ili niwe najiridhisha kila mke wangu anaporudi nyumbani.


Mke wako anatoa sababu gani?? Lazima uzichambue, ndoa ni shule maalumu.

HAKIKA MAGONJWA YA KISAIKOLOJIA YANAKUJA KWA NAMNA NYIMGI...
 
Back
Top Bottom