Mke wangu kaliwa uroda

Mke wangu kaliwa uroda

public zungu

Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
42
Reaction score
42
Habari gani wana jf kwa kifupi mimi ni dereva bodaboda kama unavyotambua kazi zetu zina changamoto nina mteja wangu anafanya kazi benk fulani hapa Dar-es-salaam jamaa huyu ni kicheche wa kufa mtu alinipenda sana kwa sababu sijawai kuwatongoza mademu wakati nawapeleke na kuwarudisha tofauti na madereva wa BODABODA wengine ambao alikiwa anawatumia.

Mkasa huko hivi mwaka Jana mama yangu aliugua sana ilihitajika laki nane kwa ajili ya matibabu mimi nina dada zangu watatu ambao hawakujali kumguuza mama mke wangu alikuwa na mtaji wake alitumia kumtibu mama yangu mpaka ukafu shida kuipata hiyo laki nane ili afanyiwe uperesheni mke wangu aliniambia kuwa ataenda kukopa vicoba nilikubaliana naye alitoka mchana kwa ajili ya kwenda kukopa huku mimi nikiendelea na boda ilivyofika saa tisa na nusu mchana boss wa benki alinipigia simu nimfate Rambo guest pale manzese.

Nikamchukue mdada nimpeleke kwao wakati naongea naye kwenye simu nilimsikia huyu dada analalamika amemsaliti mumeo kwa ajili ya shida nilifunga safari mpaka guest sikuamini alikuwa ni mke wangu alivyoniona alishituka nikamuwai harakaharaka wewe twende nikupeleke yule boss alinisisitiza huyu ni mke wa mtu mpeleke haraka kwani amemuangaisha sana mke wangu alipanda bila hiyana maana sisi tunaishi magomeni tulivyofika tu agerntina aliniambia nisimamishe pikipiki alishuka samahani najua jinsi gani umeumia alipanda gari ya mwendo kasi za kwenda post nilienda nyumbani nakimfungashia vitu vyake siku hyo hakurudi alirudi kesho yake.

Alipofika alianza kulia sana nilikuwa na hasira nilimwambia achukue begi lake nilimpeka mpaka ubungo akapanda basi nakuondoka kwenda kwao matombo morogoro alikaa siku mbili nakunitumia SMS ilikuwa inasema.hivi

"Pole sana najua umeumia sana mimi nimeumia zaidi zaidi yako nimeuza mwili wangu kwa ajili ya mama yako ila dada zako hawakujali hilo usiku na mchana wako kwenye madisco unatambua mtaji wangu ulikufa kwa ajili ya mama yako unatambua siku ulivyonichukua guest njiani nilishuka nilienda hospitali kwa ajili ya kulipa matibabu ya mama yako nilibakiwa na elfu 25 tu ambyo nilitumia kwa ajili ya nauli kuja huku kwenda mama yako ni mama yangu samahani sana kwa kukuumiza nilifanya hivyo mama yako apate matibabu naomba nikuambie ukweli tangu tuishi sijawi kukusaliti ile ilikuwa ni Mara ya kwanza kutokan nilitumia kila njia ya kupata pesa ya matibabu ilishindikana nakuomba sana unisamehe kwa ilo mimi mama mtoto wako angel naomba ufikiliye kwa hilo "

Je wa jf nimsahehe au ?
 
Mpaka umekuja kuandika huku, inaonekana ushaamua kumsamehe otherwise usingepoteza muda wako. Msamehe tu mama Angel na muendelee na maisha
 
Kuchapiwa ni siri ya ndani, cha muhimu badili simu ya mkeo mpe line mpya. Eneo la biashara pia alibadili maana kama mkeo alikuwa anauza vitafuniio jamaa wa benki alinogewa na vitafuniio hadi akataka kuonja vya ndani vimeungwaje.

Shida tuu,kama mkeo alipewa shoo ya kibabe ya malipo ya shilingi laki 8, hatomkumbuka jamaa siku ukimuudhi au kumkera kumbuka alimzungusha sana.

Pole kwa majanga pia mpe pole bi' mkubwa.

Ila itabaki kuwa: KUCHAPIWA NI SIRI YA NDANI.
 
Kama ni wa matombo mkuu..uliza vizuri, wajomba ndio hufungua blister, mke akifanya ungese utasikia mjomba ndio kila kitu, yaani ukiona wajomba wanajisogeza katika hiyo kesi yako, ujue yupo mmoja kala
 
Bonge la stori ngoja nisubiri part two
 
Kama kweli alifanya hivyo kwa ajili ya afya ya mamaako (sijui utahakikisha vipi), msamehe. After all wewe hujawahi kuchepuka hata siku moja tokea uwe na huyo mkeo!
 
Huyo mkuu japo anadai kafanya kwa ajili ya kumsaidia bi mkubwa lakini nachokiona ni kwamba hata siku nyingine ukipata shida inayohitaji fedha umwambie neno hili "fanya maarifa mama angel tusolve hili tatzo" then baada ya hapo kuwa mpole maana tayari unakitega uchumi mahususi,hongera mkuu kwa kumiliki kiwanda.
 
Acha mke mara. Yaani atarudia tu huyo na lazma atakuona bwege.
 
Back
Top Bottom