Ndugu,hapo kuna walakini,na huu walakini ni dhahiri kwamba kuna jambo amezungumza na ndugu zake huko kwao,aweza kuwa mama au ndugu wa karibu amejadili nao kuhusu ndoa na akapewa aina ya ushauri ambao si sahihi,sasa cha kufanya,ongea na mkeo kwa kirefu sana,tena zungumza nae kwa upole na kwa busara,tafuta muda muafaka nenda nae mbali na nyumbani,nina uhakika atakueleza,na ukishajua tatizo nadhani utaweza kudanya maamuzi yaliyo bora
All the best