mjanjamjanja
Member
- Feb 11, 2014
- 32
- 2
Hilo ni tatizo sugu kwa wanawake walio wengi (ingawa sio wote) hasa pale anapokuwa anajua kuwa amepata usajili wa kudumu (ndoa takatifu) , hakika ndio wakati amabao huwa wanaanza kutoa makucha yao ambayo waliyaficha wakati wa uchumba.
Hajashawishiwa?
Kaa nae chini umuulize kulikoni tangu uliporudi mwenzangu mbona umebadilika, labda anaweza kukuambia kilichomfanya abadilike
Habari zenu ndugu wa mmu,
Ni hivi nmebahatika kuoa na kupata babyboy moja.Nmedumu kwenye ndoa miaka 3 na mke wangu.
Nmeishi na mke wangu kwa upendo na furaha.Miezi mitatu iliyopita mke wangu alienda Kwao Mwanza,maana tangia nimuoe hajafika huko.Sasa alivyorudi amebadilika kila kitu kuanzisha furaha,upendo,hanijali tena Yaani amebadilika kabisa sio yule mke wangu wa Kwanza.mi mpaka na hisi Kwao huko wamemfanyia kitu......
Hebu ushaurini nifanye nini maana akili yangu sasa inawaza kumpiga kibuti tu.....talaka
Habari zenu ndugu wa mmu,
Ni hivi nmebahatika kuoa na kupata babyboy moja.Nmedumu kwenye ndoa miaka 3 na mke wangu.
Nmeishi na mke wangu kwa upendo na furaha.Miezi mitatu iliyopita mke wangu alienda Kwao Mwanza,maana tangia nimuoe hajafika huko.Sasa alivyorudi amebadilika kila kitu kuanzisha furaha,upendo,hanijali tena Yaani amebadilika kabisa sio yule mke wangu wa Kwanza.mi mpaka na hisi Kwao huko wamemfanyia kitu......
Hebu ushaurini nifanye nini maana akili yangu sasa inawaza kumpiga kibuti tu.....talaka
Hapo wewe usisumbuke tafuta nyumba ndogo(mchepuko) ,Ngoma itakua draw
Hilo ni tatizo sugu kwa wanawake walio wengi (ingawa sio wote) hasa pale anapokuwa anajua kuwa amepata usajili wa kudumu (ndoa takatifu) , hakika ndio wakati amabao huwa wanaanza kutoa makucha yao ambayo waliyaficha wakati wa uchumba.
hanijali tena Yaani amebadilika kabisa sio yule mke wangu wa Kwanza.mi mpaka na hisi Kwao huko wamemfanyia kitu......
oh pole sana!!,naelewa unavyojisikia,njoo tuchepuke kimya kimya wala hutowaza
oh pole sana!!,naelewa unavyojisikia,njoo tuchepuke kimya kimya wala hutowaza