Mke wangu jamani nisaidie wana MMU

Mke wangu jamani nisaidie wana MMU

kisumapai

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
544
Reaction score
219
Mke wangu tangu nimemuo tuna miaka 3 lakini ajawahi hata siku moja kujamba tukiwa wote muda mwingine anabana ushuzi mpaka tumbo linaunguruma nikimuiliza tatizo nini ananiambia tumbo la kawaida. Je nifanyeje jamani
 
Jukwaa halikuhusu hili mkuu,kama umemis ushuzi wake mlishe kande na mayai
 
Mke wangu tangu nimemuo tuna miaka 3 lakini ajawahi hata siku moja kujamba tukiwa wote muda mwingine anabana ushuzi mpaka tumbo linaunguruma nikimuiliza tatizo nini ananiambia tumbo la kawaida. Je nifanyeje jamani

piga 0715...... halitaunguruma tena.
 
Mpe mkeo maharage changanya,kisamvu na parachichi kidogo kisha ashushie na maziwa mgando ila kama una papai itakuwa poa.Akishakula jifanye km umesahau kuwasha feni utaacha kupost haka ka thread ka aina hii tena
 
Mpe mkeo maharage changanya,kisamvu na parachichi kidogo kisha ashushie na maziwa mgando ila kama una papai itakuwa poa.Akishakula jifanye km umesahau kuwasha feni utaacha kupost haka ka thread ka aina hii tena

Ha ha haaaaaaaaaaa jaman jaman humu kwel watu hamnazo yan nimecheka hadi nalia.....
 
Kwayyo umeona kule MMU hawakujibu ukaona u2 letee ss
 
Mke wangu tangu nimemuo tuna miaka 3 lakini ajawahi hata siku moja kujamba tukiwa wote muda mwingine anabana ushuzi mpaka tumbo linaunguruma nikimuiliza tatizo nini ananiambia tumbo la kawaida. Je nifanyeje jamani

Wewe unajambaga mbele yake??!
 
Mke wangu tangu nimemuo tuna miaka 3 lakini ajawahi hata siku moja kujamba tukiwa wote muda mwingine anabana ushuzi mpaka tumbo linaunguruma nikimuiliza tatizo nini ananiambia tumbo la kawaida. Je nifanyeje jamani
daaaaaaah!
 
Mpe mkeo maharage changanya,kisamvu na parachichi kidogo kisha ashushie na maziwa mgando ila kama una papai itakuwa poa.Akishakula jifanye km umesahau kuwasha feni utaacha kupost haka ka thread ka aina hii tena

Nimekuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom