eddychingy
Member
- Apr 20, 2015
- 93
- 7
Mimba hiyo sio yeye
Habari zenu wana Jf,
Wenzangu,
Kuna jambo lina nisumbua mwenzenu, mke wangu ana uja uzito wa miezi mitano, kila mda anataka kusex nikishinda nyumbani hiyo ndo kazi.
Kazini siendi nikitaka kuondoka analia afu anasema tuondoke wote bila hivo nyumbani hakuna amani kabisa yaani hapakaliki, hapa nilipo pesa zote nimekula sina kitu ila yeye hilo halitambui.
Naombeni ushauri wenu wakuu nifanyeje? Maana mke wangu nampenda sana sipendi nione akilia naumia sana.
inaudhi sana ,, huwa napata shida na washikaji wa namna hiii kipindi hichi anatakiwa ajiandae kuwa na hata milion mbili kwa ajaili ya maandalizi ya kumpokea mtoto .... kuna wanawake wanajifungua maziwa yanagoma kabisa kutoka ndiyo umekopa hela ya kujifungua sijui kama ataweza maziwa ya kumpa mtoto na jinsi gharama zilivyo juuuu... ukosefu wa mipango sema acha tuwasaidie hivyo hivyo japo tunawalemazaHawa ndo wale washkaji anakupigia simu anakuomba umkope pesa ya kwenda kumtoa wife hostipal amejifungua..Unajiuliza huyu kipindi chote alikuwa anaiangalia mimba kama sinema ama
inaudhi sana ,, huwa napata shida na washikaji wa namna hiii kipindi hichi anatakiwa ajiandae kuwa na hata milion mbili kwa ajaili ya maandalizi ya kumpokea mtoto .... kuna wanawake wanajifungua maziwa yanagoma kabisa kutoka ndiyo umekopa hela ya kujifungua sijui kama ataweza maziwa ya kumpa mtoto na jinsi gharama zilivyo juuuu... ukosefu wa mipango sema acha tuwasaidie hivyo hivyo japo tunawalemaza
Habari zenu wana Jf,
Wenzangu,
Kuna jambo lina nisumbua mwenzenu, mke wangu ana uja uzito wa miezi mitano, kila mda anataka kusex nikishinda nyumbani hiyo ndo kazi.
Kazini siendi nikitaka kuondoka analia afu anasema tuondoke wote bila hivo nyumbani hakuna amani kabisa yaani hapakaliki, hapa nilipo pesa zote nimekula sina kitu ila yeye hilo halitambui.
Naombeni ushauri wenu wakuu nifanyeje? Maana mke wangu nampenda sana sipendi nione akilia naumia sana.