Mke wangu hapendi kufanya mapenzi

Kwa kasumba iyo mtafutie virutubisho ya viltorised for wemon
 
Kila mtu ataeleza hisia zake ila ukwel ni njia za uzazi wa mpango zimeleta mageuz makubwa kwa mwanamke hz njia zinaenda kuua system ya hormon na kuigeuza vile inavyotakikana na ndio zenye kusisimua tabia ya haki sawa yaan mwanamke kujiona kama mwanaume mtalaumu wake zenu bure na itafikia hatua mtaona meng kwenye ndoa kama mnashindwa kuwakataa wazungu na manjia yao ngojen muone mapinduz huu ni mwanzo
 
Hata hisia za mvuto hazijawai dumu maisha yote ya uhai,

Kanuni inayotumika katika ndoa ni kujiandaa kuvumilia,siyo ugomvi na kelele, no, ila udhaifu wa mwili na kutokutosheka(mwili uko hivo)


Mleta maada omba Mungu awe Hana hisia kweli, Hawa wanawake wakipenda mapenzi sana Huwa hawawezi kujizuia, so wewe jifunze kumvumilia, kutafuta kuridhika kulingana na mahitaji ya Mwili siyo misingi ya ndoa,hakuna anayeweza kukuridhisha

Mfano,fikilia wewe,siku ukipata tatizo ambalo hutoweza kumsex mkeo utaidhinisha akagongwe nje!?so jifunze kupata inapobidi , na jifunze kumvumilia inapokosekana,mtazeeka
Transform ur marriage into God's piritual ways ,utagundua amani,amani,amani ndio kitu Cha muhimu ndani ya ndoa,
 
Duuh ni hatari mkuu
 
Hakuna kisichosahaulika duniani bro.
 
Wanawake wachache wanapenda kugegedana. Ambao hawajaolewa ndio hupenda sababu ni fursa adimu kwao. Ila wanaume mzuka kama kawa. Wanaochepuka sio wajinga, na wanunuzi wa dada poa wameoa hapo ndiyo utaelewa sasa.
 
Yaani awe anamtongoza mke wake kila siku!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…