Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 4,786
- 5,900
Kwa kasumba iyo mtafutie virutubisho ya viltorised for wemonHabari wakuu,
Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.
Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe.
Mimi sio mtu wa kuchepuka lakini kwa hali kama hii kidogo itapelekea kutafuta msaada nje maana hata nikipewa napata bao 1 ambalo hamu haziishi.
Nimeshafuatilia sio kwamba anachepuka hapana ila tu sijajua ni hisia zake ziko mbali au ni kwann hapendi sana kushiriki tendo la ndoa.Hakuna sababu ya msingi anayotoa labda huenda na yy hajioni kama ana tatizo labda anaona yuko sahihi au yuko sawa.
Au labda mimi nahitaji tendo mara nyingi zaidi sijui,maana mimi nina uwezo wa kufanya hata kila siku nikipewa na kwa namna ninavyompenda na hisia nilizonazo kwake ni vigumu kulala nae bila kuomba game.
Kwa wazoefu kama kuna ushauri na maoni namna ya kusaidia ili tufurahie tendo takatifu la ndoa.
Natanguliza shukrani
Atakua hamkazi vizuri 😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hakuwasiliana na TANESCO kupewa muongozo wa kupeleka umeme. Huenda anaogopa akimpelekea huku amezoea vibatali atamkimbiaAtakua hamkazi vizuri 😁
Hata hisia za mvuto hazijawai dumu maisha yote ya uhai,Hana hisia na wewe sio kwamba hana hisia za mapenzi. Wewe sio mtu aliempenda au niseme mtu anaemvutia ktk hilo tendo ila una mazuri yako yaliyomvutia mfano huchepuki, unajua kulea familia, unapenda watoto, mtu wa kuishi vizuri na watu n.k.
Wanawake ni watu wa ajabu sana usijiaminishe kuwa hana mtu au hachepuki, kila mwanamke awe ndoani ama lah ana mwanaume ambae hawezi kumsahau maisha yake yote aidha alimpenda au alikuwa na hisianae sana.
Duuh ni hatari mkuuKila mtu ataeleza hisia zake ila ukwel ni njia za uzazi wa mpango zimeleta mageuz makubwa kwa mwanamke hz njia zinaenda kuua system ya hormon na kuigeuza vile inavyotakikana na ndio zenye kusisimua tabia ya haki sawa yaan mwanamke kujiona kama mwanaume mtalaumu wake zenu bure na itafikia hatua mtaona meng kwenye ndoa kama mnashindwa kuwakataa wazungu na manjia yao ngojen muone mapinduz huu ni mwanzo
Hakika.Sasa, unadhani akimpeleka hotelini atapata nini? Atalala vile vile tu. Kwa hayo mawili uloyataja,kuna asilimia kubwa za ukweli. Sema tu inaonekana jama hakuwa baharia. Vinginevyo asigekuwa njiapanda. Hapo siku tatu zinatosha kujua unae au ni msanii tu.
Hakuna kisichosahaulika duniani bro.Hana hisia na wewe sio kwamba hana hisia za mapenzi. Wewe sio mtu aliempenda au niseme mtu anaemvutia ktk hilo tendo ila una mazuri yako yaliyomvutia mfano huchepuki, unajua kulea familia, unapenda watoto, mtu wa kuishi vizuri na watu n.k.
Wanawake ni watu wa ajabu sana usijiaminishe kuwa hana mtu au hachepuki, kila mwanamke awe ndoani ama lah ana mwanaume ambae hawezi kumsahau maisha yake yote aidha alimpenda au alikuwa na hisianae sana.
Wanawake wachache wanapenda kugegedana. Ambao hawajaolewa ndio hupenda sababu ni fursa adimu kwao. Ila wanaume mzuka kama kawa. Wanaochepuka sio wajinga, na wanunuzi wa dada poa wameoa hapo ndiyo utaelewa sasa.Habari wakuu,
Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.
Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe.
Mimi sio mtu wa kuchepuka lakini kwa hali kama hii kidogo itapelekea kutafuta msaada nje maana hata nikipewa napata bao 1 ambalo hamu haziishi.
Nimeshafuatilia sio kwamba anachepuka hapana ila tu sijajua ni hisia zake ziko mbali au ni kwann hapendi sana kushiriki tendo la ndoa.Hakuna sababu ya msingi anayotoa labda huenda na yy hajioni kama ana tatizo labda anaona yuko sahihi au yuko sawa.
Au labda mimi nahitaji tendo mara nyingi zaidi sijui,maana mimi nina uwezo wa kufanya hata kila siku nikipewa na kwa namna ninavyompenda na hisia nilizonazo kwake ni vigumu kulala nae bila kuomba game.
Kwa wazoefu kama kuna ushauri na maoni namna ya kusaidia ili tufurahie tendo takatifu la ndoa.
Natanguliza shukrani
Mke wng pia alinianzishiaga kama hii nikafanya uchunguzi nikagundua kuna mwamba anakula tunda, nikampiga chini. "Shtuka bro dalili hyo cyo nzuri.sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.
Yaani awe anamtongoza mke wake kila siku!Sawa, hilo tatizo kama ni la siku zote.
Jaribu kubadili namna wewe na mkeo mnawasiliana
Then kama unataka game mwandae mapema, chat zako au maongezi yako yawe ya kimahaba. through out
M'bembeleze hata kwa kitu kidogo tu.(jitahidi).
Na siku unapiga mambo hakikisha unamwandaa vyakutosha.
Mwanamke ukimwandaa vizuri lazima akitupie.
Wakati unafanya usiache kumsemesha. Msifie isifie K' yake ongea hata uongo ila uwe romantic.
Anapaswa kufurahi ili mara nyingine atake tena.
Wake za watu huwa wanaliwa kirahisi kwasababu kuna mambo waume zao hawafanyi na hii ni nature.
Narudia tena, mwandae mapema kabisa.
Mtie mshawasha tokea mchana.
Asipochange sasa uingie ndani zaidi ujue hilo tatizo lake la kihisia linasababishwa na nini.
1. Mwanamke akikosa matunzo au mahitaji muhimu hukosa hamu ya tendoWangu ameshazaa
Hakuna namna.Yaani awe anamtongoza mke wake kila siku!