Mkuu kwani kufua ni kazi ya kike mm nilidhani anakunyima NDOA hayo mengine yote ni ya kusaidia kupika kudeki kufua hasa chupi zake akirudi hakikisha chakula kina kuwa mezani na unahakikisha unafua chupi zake haraka hasa kama mtakuwa manaishi Dar maana kuna joto.Kama kufua mkuu
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Toka nianze maisha ya uchumba mimi na mke wangu sasa ni miaka ya pata 4 lakin toka tuoane ni miaka miwili sasa na hatujabahatika kupata mtoto hata mmoja
Zaman nilikuwa naish vyema sana na mke wangu yaan hakuwa na kibur kama ilivyo sasa
Hali imebadilika sana nikiwa naongea na mke wangu yaan huwa anaongea kwa ukali ukali tu wakati mimi naongea saut ya chin
Anakuwa ana nifokea hata mbele ya watu bila huruma
Kila mda ana dai kachoka
Kila akitoka kazin anataka mimi ndo nimpokee mkoba wake, kazid sasa nisipo upokea anatupa chin anataka mimi ndo niingie nao ndan
Nataabika sana kwakweli jaman
Kuna baadh ya kaz za kike mimi ndo anakuwa ana nishurutisha kuzifanya
Wakati kipind mimi nikiwa na kaz alikuwa hanifanyii yote haya sasa baada ya mimi kusimamishwa kaz ndo amekuwa mwiba kwangu jaman
Kitu ninachopata bila usumbufu ni papuch pekee yaan yenyewe tena ikibid kila siku
Naomben ushaur wenu
LONDON BABY