Mke wangu anataka account password yangu ya fb

Mke wangu anataka account password yangu ya fb

chimera

Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
31
Reaction score
37
Za asubuhi wanajamii,

Mimi ni mzima wa afya,

Naomba niende direct kwenye mada kama kichwa kinavyojieleza mimi ni kijana nimeoa ka mwaka sasa umepita, tunaishi kwa furaha na amani tele but cha kushangaza tokea wiki iliopita mke wangu amekua akidai account nina mambo mengi sana na anataka nimpe password aniasidie kuisafisha.

Mimi sina chohote ninachomfichaga but sipendi kushare account password na mtu yeyote, sasa imekuwa ugomvi tuu.

Naomba ushauri nifanyeje?

NB; Lugha chafu hazikubaliki ni ushauri tuu naomba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna haja ya kumpa
nyie ni mwili mmoja ila kuna mambo yanatakiwa kuwa faragha ya mtu binafsi kama a/c za social media, bank n.k
Ila kama unaona ni sawa mpe tu
 
Ndoa ni maagano yenye kiapo cha milele baina ya mume na mke, hilo neno "milele" lina tafsiri kubwa sana ukilijadili kwa makini. Ni safari ndefu. Hakuna jambo zuri kama kuwekana sawa kabla ya ndoa maana ndio maisha yenyewe mwaka hadi mwaka. Ushauri wangu fanya moyo wako unavokutuma maana ndio ukweli wa nafsini mwako
 
Ndio hapo sasa.. Mpe tu since u share each and everything,kama mnadhare vikojoleo inakuwa kitu kidogo Acc


mie binafsi huwa sitak kuishi kwa mateso!huyo mke anaguts sana sana! alfu ndo kwanza wana mwaka mmoja mnataka kuanza kusafishiana acc au kufukua makaburi!hhehhehh! huyo dada ajiandae kupata kisukari
 
mshakuwa mwili mmoja wasiwasi wako ni nini ??
 
mie binafsi huwa sitak kuishi kwa mateso!huyo mke anaguts sana sana! alfu ndo kwanza wana mwaka mmoja mnataka kuanza kusafishiana acc au kufukua makaburi!hhehhehh! huyo dada ajiandae kupata kisukari
Yaani we acha tu,kutafuta presha tu aisee hakuna lingine. Watajuana wenyewe aisee
 
Huo unaitwa wivu wa kimapenzi. Na ukimpa jua ataishia kutukanana na watu huko mtandaoni.
Sasa fanya hivi... Delete (au unfollow)all friends kwenye hivyo account yako, delete and clear all conversation then mpe hiyo PW...
 
Za asubuhi wanajamii,

Mimi ni mzima wa afya,

Naomba niende direct kwenye mada kama kichwa kinavyojieleza mimi ni kijana nimeoa ka mwaka sasa umepita, tunaishi kwa furaha na amani tele but cha kushangaza tokea wiki iliopita mke wangu amekua akidai account nina mambo mengi sana na anataka nimpe password aniasidie kuisafisha.

Mimi sina chohote ninachomfichaga but sipendi kushare account password na mtu yeyote, sasa imekuwa ugomvi tuu.

Naomba ushauri nifanyeje?

NB; Lugha chafu hazikubaliki ni ushauri tuu naomba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mnaishi kwa upendo na mnaaminiana basi Nashauri umpe hiyo password ili kumaliza ugomvi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
cna wasiwasi BT hana sababu n aina gan ya mambo mengi anayasemea kwenye a/c cz kila kitu tunashare hata posts za fb freely

Sent using Jamii Forums mobile app


Yaan hapo ndo aman itakapoanza kupeperuka! simama kiume naww! khaaa!atakuja siku atakuambia mbadilishane line zasimu! atakuja siku atasema twende wote job had unapotoka kazini!bla blah kibao kwasisi wanawake!USIMPE MUYEGO
 
cna wasiwasi BT hana sababu n aina gan ya mambo mengi anayasemea kwenye a/c cz kila kitu tunashare hata posts za fb freely

Sent using Jamii Forums mobile app


Yaan hapo ndo aman itakapoanza kupeperuka! simama kiume naww! khaaa!atakuja siku atakuambia mbadilishane line zasimu! atakuja siku atasema twende wote job had unapotoka kazini!bla blah kibao kwasisi wanawake!USIMPE MWAYEGO
 
wanawake wana kero sana bora ht niongee humu lbd asira zng zitaisha.huyu wangu kila nikishika sim anaanza kuchungulia nafanya nn?!cha ajab yy mi simfwatilii na yuko biz na sim 24hrs ajab nikishika yng tu anaacha kutumia yk anaanza kuchungulia.mara ukirud aanze kuchungulia boxer km umegeuza aanze la kusema.amekaa kisharishari kila mda hd nafkiria ht nimtoroke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom