JembeNaNyundo
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 533
- 652
Yaani kila mwezi lazima atumie laki 3 kwa ajili ya michango ya harusi. Nimemvumilia hadi nimemchoka. Ati ni hobby yake. Ukikuta mtu kaachwa ujue kuna mtu yamemfika hapa. Ngoja nitafute dogodogo wa kunipoza aendapo harusini.