Mke wangu ananiumiza kichwa

Pole ya kawaida hayo, ongea nae delete hiyo account Facebook, jipe muda maumivu yapungue msamehe maisha yaendelee.....
Kumbe it is that easy?
MY dada cheating a man is different from cheating a woman... ***** nasomesha halafu faida ndo hiyo!!
 
Formlar ipo hiv,malaya atamuoa malaya mwenzake
 

Kimbiaaaa
 
Sasa ulimfungulia facebook ya nini. Kama alikuwa haijui facebook ungemwambia asijiunge huko kwani kuna mashetani. Pole.
 
mimi na hii roho yangu Mungu aninusuru maana nikigundua ivo on the spot ataenda kwao,,,,ila ilo kabila m nawafaham vzr ni ikina mama huruma
 
this is the first time naona comment yako, nimeipenda na ni inspirationalkweli...naomba uwe unapitia nyuzi hapa utupe insiration....salute
 
una busara sana...ilabora uanze na dada yakea ila kuwa na evidence....maana ukizingu atafuta af atasema unamsingizia naitaisha kavukavu...umekuwa mstaarabu na mvumilivu...onesha evidence afmay be dada atamuuliza yeye kupitia hiy anaweza kuja omba msamaha haswaaa....atajutia .hapo utaona tu...ila we una hasira bora utulie usije mtoa meno....wanaume kama wew tup wachache
 
TAECOLTD. Wengi wanaokushauri humu hawakuambii/hawakushauri ukweli.

Nakuhakikishia kitu kimoja ambacho wanaume wengi hawafanyi siku hizi". 'Kumpeleka mwanamke shule' kwa asilimia 90 mpaka sasa umebugi
Kwani mlipokutana akiwa std 7 kulikuwa na tatizo gani? mpaka ww uchukue majukumu ya wazazi wake au ndio uoga wa maisha¡
Hapo anasoma anajiachia hivyo ' akianza kuchukua mshahara lazima utajinyonga,

Ushauri
Andaa supa sub kabla hujachelewa.

Ni fundisho kwa wengine wanaofanya mchezo kama wa kwako, hii theory ya kusema tutasaidiana maisha imefeli kwenye ndoa nyingi.
 
Duh! Pole
Mke na Facebook wapi na wapi, hata magroup ya whatsapp pia kagua,
Dawa hapo n kuwa kamanda mwanzo mwisho, hucheki na kima, mpaka anyooke
 
Kwanza nikupe pole sbb ht me ilishanikuta naelewa length of pain u undergoing!
Kisanga chako na changu havijatofautiana sana.
Ila kikubwa cha kukushauri usihukumu kwa hisia kaa ongea nae muonyeshe na huo ushahidi wala usipaniki na kuchukua hatua hatarishi.au anza kumchunguza polepole upate na physical evidence ndo itakuwa vizuri ujue pa kuanzia.
narudia tena kukupa pole maana wanawake wanadanganyika kiwepesi sana siku hizi kwa kujiaminisha lbd upande wanakoenda watapata comfort zone matokeo yake anapewa maradhi aje kukuambukiza na ww
 
Pole sana na inauma kweli. Waswahili wanasema hasira hasara. Katika jambo hili tulia kwanza na ujue wanawake ni viumbe dhaifu, Mkisha kaa na dada yake, mwambie dada yake akamweleze uozo aliokuwa anafanya na hapo utaona kama kweli ameona uovu wake maana kama anajielewa atatubu ki ukweli na utampa second chance. Saa nyingine wanawake wanaweza kufanya hivyo baada ya kupata mwingine na atafanya makusudi hili ndoa ivunjike aende kwa mwingine. Chunguza pia kama kuna jinsi yoyote anafadhiliwa na watu wa nje. Mwisho jipe moyo mkuu ndiyo dunia hii inayoitwa tambara mbovu.
 
Katika kitu ambacho hua sikubaliani na jamii ya leo ni kutokuchunguza simu ya mke/mwenza
yalishanitokea figisu zote nilikua nazipata kupitia simu yake
Nazifanyia uchunguzi nikimueleza anakataa nampa muda baadae namuibukia na data zote anakiri alifanya unamuonya anatulia baada ya muda anarudia tena nikaamua kuachana nae
ninachokushauri ndugu kama bado mkeo unampenda jifanye kama hujaathirika endelea kuchunguza simu yake ili uupate ushahidi wa kutosha baadae kaa nae kitako mueleze kwamba unajua yote anayoyafanya na umkanye aachane nayo
endelea kumchunguza hata baada ya miezi sita au mwaka akiachana nayo utaendelea naye akiendelea kuyafanya ni tabia yake huna namna ya kumzuia asifanye na hapo ndipo utakapo amua kumuachia maisha yake
 
Naona imekuwa wiki ya wake hii, pole sana.

Rudia tu umalaya wako japo haiondoi machungu lakini inakufariji.

Ni ungese kuwa na mwanamke mmoja kisa yeye tu, bora iwe ni kwa utashi wako binafsi na mazingira
 
Nilichojifunza recently ni kwamba wanawake walioshiba ndo hufanya cheating zaidi compared na wenye njaa, kushiba ni kubaya sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…