Unaongea tu kwakuwa hujui,mimi si wa dakika 5 kama unavo sema na nisinge weza kuweka kila kitu hapa.
Kwa ufupi ni kwamba yeye ana sema haji sikii na hana hisia mimi nakuwa nahitaji kila siku hisia muda wote zipo sasa yeye hana hisia anacho niambia issue si hizo dk.5 unazo ongea mimi niko vizuri sana mambo mengine huwezi jua ikiwa kwako kuna maelewano hongera usifikirie swala hilo kuwa ni changamoto japo kweli inawasababishia watu baadhi Ila si mimi na nna uhakika
% hana huyo mtu unaye mtaja muda wote yuko nyumbani napia simu yake hamna anaye tuma sms wala kupiga nna uwezo wa kushinda na simu yake na hakuna chochote nayeye hana number za simu za watu nisio wafahamu.Changamoto inayo msumbua ni kuwa hana hisia si kwamba ana mtunzia mtu hilo si kweli binafsi nna uwezo wa kwenda zaidi hata ya mara 2 kwa wakati mmoja mimi si mnyonge kiivo unavo ongea mkuu.