Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,506
Pole kaka...nahisi kama umeolea wenzio tu.
Asante NN lakini sijui kama unajua ndoa na maswahibu yake
Najua kuliko unavyodhani najua. Pole tena.
Pole anayoyafanya anafikiri na ww wafanya.
Sometimes kumbembeleza nako kunaleta shida. Jaribu kuweka msimamo wako, kama ataendelea mueleze wazi wazi bila kuuma uma maneno yale yanayokukera. Onyo: usimwambie siku akiwa amefura (hayuko kwenye mudi) haitakuwa rahisi kukuelewa.
Na kama hawezi kukusikiliza, basi ujue anajamaa lingine linampa kiburi, ndo mapenzi ya siku hizi.
Inawezekana kabisa. Now what can I do?
Sometimes kumbembeleza nako kunaleta shida. Jaribu kuweka msimamo wako, kama ataendelea mueleze wazi wazi bila kuuma uma maneno yale yanayokukera. Onyo: usimwambie siku akiwa amefura (hayuko kwenye mudi) haitakuwa rahisi kukuelewa.
Na kama hawezi kukusikiliza, basi ujue anajamaa lingine linampa kiburi, ndo mapenzi ya siku hizi.
Asante and naomba ushauri wako what can I do?
haya mambo mengine ni kama story tu,...eti unahisi demu wako hajatulia halaf unazidi ku compromise,.......anyway wengine labda tumeathiliwa na malezi
Achana na Facebook.
Facebook imekuwa chanzo cha mitafaruku mingi sana kwenye mahusiano. Mimi kama mimi sipo huko Facebook. Nipo ila nipo ki JF zaidi. Natumia jina la Nyani Ngabu na hata hivyo sijaingia huko tokea sijui lini..hata sikumbuki.
Watu huko huuza sura tu. Kila leo wanabandika mapicha yao halafu wanasubiri kumwagiwa misifa...ooh sijui you are beautiful...sijui I miss you...mara you look gorgeous...sasa kaka hebu fikiria kidogo. Yaani kama una mwenzako yuko huko halafu minjemba inamwagia misifa hivyo utapata amani kweli moyoni na akilini mwako? Vivyo hivyo kwako. Kama wachuchu wanakumwagia misifa kem kem mkeo au mpenzio unadhani atakuwa na amani kweli? Mimi sidhani hata kidogo.
Uamuzi wa mwisho ni wako. Ukiamua kubaki..poa tu...ukiamua kuachana nayo...na yenyewe haina ubaya. Mwisho wa siku pima uone jambo lipi ni la muhimu zaidi na fanya uamuzi kulingana na majibu utakayopata.
IGWE jua kwamba huyu sio demu wangu, ni MKE wa ndoa na hapo ndipo nashindwa nifanye nini na kuamua kuwaomba ushauri
Walau sasa umekuja na ushauri. Nashukuru, nitapima NN
Ndio uache kuutesa moyo wako_mkeo wa ndoa kwa nn amegwe tena na rafiki yako,...anyway sijui imani yako-kama muislam mlime talka 3 na kama mkristo kama mm mshit kimya kimya