Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 2,021
- 2,448
Puli ni dhambi mkuu nafuu uchepuke tu. Mungu huwa anafumba macho. Ila mpiga puli huyo kalaaniwa moja kwa moja
Umeonaeee. Siku zote humu hakueleweki yaani unaweza leta uzi ukapokelea vizuri kabisa na unaweza leta uzi mpaka ukajuata why umeanzisha.Hahahaha kaja na mbwembwe akidhan watamsifia ukidume
Wanafyatua hadi nimewapenda.Hivi siku hizi hamna ile Nyota ya kijani?!
Hata kama hana appetite kwani akikubali atakufa?Sasa kama hana appetite ajilazimishe kukulwa tuu, kuwa na huruma basi, watoto wote hao bado unalalama unanyimwa!! Muone
Ina maana wakati Rais anasema tufyatuwe tu wewe ulikuwa wapi?Mngh! watoto wote hao utawasomesha kweli na hali hii? Kazi kweli kweli
Siku hizi uamuzi wa gharama za kusomesha watoto ni wa kila mmoja anavyojisikia, unaweza kutumia gharama kubwa na mwenzako akatumia gharama ndogo, lkn watoto wenu wote watakutana UDSM au UDOM au chuo kingine chochote.Mngh! watoto wote hao utawasomesha kweli na hali hii? Kazi kweli kweli
Hapo umenena, wanawake wachoyo wa tendo la ndoa kwa waume zao, dawa yao ni kipozeo tu hakuna namna.USIHARIBU FAMILIA KISA TENDO LA NDOA ..KAA NAE CHINI MZUNGUMZE NAE VEMA KUHUSU SWALA HILI NA IKISHINDIKANA KABISA TAFUTA KIPOZEO CHA PEMBENI NAWE UJIFANYE BUSY KUMUOMBA TENA HAKUNA!! ATAKUULIZA ULIZA MASWALI UMWAMBIE MKE WANGU NIMEONA NIVUMILIE MAANA KILA NIKIKUOMBA HUTAKI BASI SIKU UKITAKA MKE WANGU UTANIJUZA..
Wewe hupendi!? Basi ishone ubakishe kile cha kukojolea tu!Yaelekea Unapenda kufanya mapenzi sanaaa kha, umegeuza msosi.
ndiyo dawa toshaHapo umenena, wanawake wachoyo wa tendo la ndoa kwa waume zao, dawa yao ni kipozeo tu hakuna namna.