Its Tesha
Senior Member
- Oct 6, 2025
- 168
- 604
Habari za jioni nimekuwa kwenye ndoa yangu yenye miaka 2 lakini miezi ya ivi karibuni mke wangu amekuwa akichelewa sana kurudi nyumbani akidai anaenda kwenye maombi kila siku mara baada ya kazi napata mashaka na hii kauli yake? sijui anachoenda kuomba kila nikimwambia twende wote maombi anasema wanaume hawaruhusiwi inawezakana kweli?
Naombei ushauri ili nimwingize kwenye 18 zangu!!!!
Naombei ushauri ili nimwingize kwenye 18 zangu!!!!