mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
mambo mepesi sana haya!
hivi wanaume mmekumbwa na kitu gani?
Wakikujibu nistue mkuu, manake nimebaki mdomo wazi kwa mshangao
mambo mepesi sana haya!
hivi wanaume mmekumbwa na kitu gani?
Exactly hapa mke alikuwa na sababu ya kudai chumba cha pili, alafu mshahara miwili wameshindwa kupanga nyumba nzuri yenye room 2 na sebule??Wana watoto wawili na wote wameajiriwa, bado wanaishi chumba kimoja, wanahitaji msaidizi wa ndani.....hii hai-add up.
Wana watoto wawili na wote wameajiriwa, bado wanaishi chumba kimoja, wanahitaji msaidizi wa ndani.....hii hai-add up.
Hahaha. Hii nimegoma kunywa, joto kali.Msichana wa kazi anaongeza status mjini....
Hahahah sijaona sababu ya kuwa na msichana..... unles watoto bado ni wachanga....na je wanalala.na watoto kwenye chumba kimoja????
Itabidi Magufuli awaongezee watumishi wa umma mishahara aisee
Hahaha. Hii nimegoma kunywa, joto kali.
Upo lakini mpendwa? Umeadimika.
Haha. Hii mambo iishe tu, watu waendelee na maisha mengine. Ni kero tu.Hahaha heri ulivyogoma kunywa.
Nipo mpendwa.....nilichoshwa na habari za kampeni kila mahali.....nikaamua nitulie
Haha. Hii mambo iishe tu, watu waendelee na maisha mengine. Ni kero tu.
Whatsapp ndio balaa. Imebidi nimeanzisha group nikaji-add number zangu tu. Na-chat mwenyewe.Kero kwani kidogo....
Jf uchaguzi
Insta uchaguzi
Fb uchaguzi
Makazini uchaguzi
Majumbani uchaguzi
Viber uchaguzi
Whatsup uchaguzi
Khaaaaaa..mm
Whatsapp ndio balaa. Imebidi nimeanzisha group nikaji-add number zangu tu. Na-chat mwenyewe.