Mke wangu amesema niondoke

Mke wangu amesema niondoke

madiya85

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2013
Posts
282
Reaction score
65
Wakuu,

Kuna jirani yangu ana mkewe kimsing huwa wanazozana lakini yanaisha sasa juzi jamaa akawa anamlalamikia mkewe kwanini hamjali mda wote yeye kakaa na dada wa kazi jamaa yuko sitting room mwisho wa siku ikabidi jamaa amuite mkewe waongee tatizo nini jibu alilotoa mke ni kumwambia jamaa akitaka aondoke tu, jamaa ilimuuma sana kwani wana watoto wawili mpaka sasa wote ni waajiriwa serikalini.

Sasa pengine hiki ndicho kinachompa kiburi mwanamke sasa jamaa anataka kuondoka akaanze maisha mapya japo anaomba ushauri kwanza,kuna kipindi huyo mkewe walizozana asubuhi jamaa wakati yuko kazn akatumiwa sms na mkewe akamwambia wewe si mwanaume katika wanaume ni suruali tu,shoga mkubwa.

Kuna kipindi walikuwa na chumba kimoja sasa dada wa kazi akawa analala kwa jirani eeh yule mkewe akawa anamlazmisha jamaa wapange vyumba viwili jamaa akawa anamwambia ngoja kodi iishe tutaangalia bwana mkewe akamwambia ye anataka akae na dada wa kazi hapo kama jamaa hataki kupanga vyumba viwili atamleta dada wa kazi walale naye humohumo na ktanda hichohicho.

Toka kipindi hicho jamaa mapenzi yalipungua sana kwa mkewe hasa akikumbuka hzo kauli,japo alikuwa anampenda sana nikizungumza naye anasema alishashindwa kumsamehe hizo kauli japo imepita miaka miwili sasa,mbaya zaidi mkewe anatabia ya kuhamisha mambo ya familia kwa marafiki zake huko kazini kwake ni mwalimu na pia kuyapeleka kwa mchungaji wake sasa jamaa hapend sana hii tabia yani kuna kipindi fulani jamaa alipishana na baba ake yule mkewe akayapeleka kwa pastor wake.

SASA HUYU NDUGU AFANYAJE
 
Huyo rafiki yako ana umri gani mana habari sijaielewa vizuri, wanakaa chumba kimoja walitakia nini mfanya kazi na yeye akiwa kama baba mwenye nyumba kwanini ampe mwanamke nafasi yakumtawala kiasi hiki? inamaana mkewe ana furahishwa sana na mfanya kazi kiasi chakumuona mumewe hafai,wanawake wengine asara tupu.......
 
Pole yake..ukiona hivyo jua ana mahusiano na dada wa kazi..mahusiano ambayo yanamridhisha kuliko kuwa na mume! Achunguze atajua huenda wanasagana. Siku hizi ni shidaaa kwenye ndoa...
 
Apo Agegede tu beki 3 Effectively huyo bi mkubwa atatia akili na kama anataka walale na beki 3 ni sawa tu mana si atatafuna wote nyt kali
 
Hapana mwanzon ndo walikuwa na room moja bt now wana viwili hzo kashifa za room moja alztoa tena anasema wakiwa na mtoto mmoja akiwa bado mdogo sn
 
mambo mepesi sana haya!
hivi wanaume mmekumbwa na kitu gani?
 
Mmh uyo jamaa ametawaliwa na mkewe sio bure asimame km mwanaume aache mmeshaambiwa hawa viumbe dhaifu ishin nao kwa akili lkn mnashindwa ndo maana mnatawaliwa..idadi ya wanaume inazid kupungua so sad
 
Hili ni kundi la wanaume walioipigia ccm kura!
 
Unaona sasa unaleta uzungu mpaka mwanamke anakupanda kichwani
 
Sijaelewa kwanza ni mkewe au hawara yake....???
 
Kwanini mnaoa bila kujipanga? Alitegemea chumba kimoja kinatosha kuwa na familia? Kuweni na aibu jamani
 
Pole yake..ukiona hivyo jua ana mahusiano na dada wa kazi..mahusiano ambayo yanamridhisha kuliko kuwa na mume! Achunguze atajua huenda wanasagana. Siku hizi ni shidaaa kwenye ndoa...

Mamaaaaaa!!!,kumbe hata walioko kwenye ndoa wanaweza kupenda kamchezo Ka Kusagana eeennhhh!!!.Dunia imeisha.
 
mambo mepesi sana haya!
hivi wanaume mmekumbwa na kitu gani?

Mkuu hebu thibitisha kauli yako kuwa mambo haya ni Madogo,maana huwezi kusema ni madogo wakati hujasema kinagaubaga udogo wake ulivyo.Ukiweza kumsaidia kwa kuelezea udogo wa tatizo lake nitajua kuwa wewe una Hekima na Busara tofauti na hapo nitakuona wewe ni Little mind person.
 
Back
Top Bottom