Hahahaha wafuta nini?Hongera ubadilike sasa. Na uombe Mungu huko alikotoka awe hakukutana na wafuta chozi.
Hao huwa hawakosekani
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hahahaha wafuta nini?Hongera ubadilike sasa. Na uombe Mungu huko alikotoka awe hakukutana na wafuta chozi.
Mkuu ungepima afya kwanza,usingepiga peku peku.Kifupi tu naomba kumshukuru member mmoja alieniambia nimuombe Mungu,of which I did sababu nilitaka msaada wowote wa kurudisha familia yangu nyumbani baada ya upupu niliokosea.
Nikiri, nilimsumbua sana hata alipokuwa hajibu au anarudisha hela nilizokuwa namtumia. Ila humu ndani kuna ushauri wa kila aina kuna wengine wanweza kukufanya ukaharibu kabisa.
Member mmoja alinishauri niendelee kumtafuta na nilipambana mno kumtafuta
Jana nimewachukua nyumbani kwao rasmi. Leo nimeamka mapema kuwaandalia breakfast baada ya kumchosha sanaa waifu na game zitooo la kulikosa karibu mwezi mzima. Watoto wangu leo nina mipango nao kama yote mazee. Shukran
Lesson:
1. Kama kichwa nitailinda hii familia kama kichwa kwelikweli. Na nyie washauri wa ajabu sijui nikome aniache, hajaniacha sasa.
2. Mkikoseana sameaneni ni heri shetani unaemjua kuliko malaika usiemjua na ulieanza nae maliza nae.
Pia soma: Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?
Ulifanya busara sana ...Kuwa makini Kaka mi ilibaki kidogo nimtombee rafk yangu mke wake.
Jamaa alikuwa Mzee WA michepuko sana na vpgo kwa mkewe sa mi shemeji mtu ndo kulikuwa kimbilio la mkewe kumtulza na kumuombea msamaha jamaa yangu
Kuna SKU jamaa alisafiri sa alinipa mzgo nimpelekee mkewe usku Ile nmetimba Shem tabasamu kama lote na mumewe aliniambia nilale kwake kwani huwa kuna vibaka sana sa ni vizuri nilale pale kwake atarudi kesho yake.
Yaani SKU iyo ni kama alikuwa anasubiri Tu nilianzshe anipe mbususu si mnajua tena wajita Wana kidole kinene na kubwa pale juu ya mbususu au bumunda
Yan mpk Saa name usku kagoma enda lala ilibidi ninyanyuke nitoke nje kisha niliporudi nikazama geto kulala hakukubali usku mwema yangu
Wewe una matatizoUnaonekana bado hujawa na uwezo wa kua baba wa familia, kua kichwa, you are not a man enough. Wewe ni mkia.
Na kwa mtindo ho huyo mwanamke atakua anakuacha mara kwa mara sana.
Halafu unajidanganya eti mkeo hajapata game mwezi mzima, nani kakudanganya?
Huyo mwanamke hakupendi ila wewe ndio unampenda sana. Atakupa shida sana. Inaonekana karudi sababu ya watoto na sio sababu anakupenda.
Expect the worsts.
Hahaaaaa, umempiga 👊 ya 👃Blaza kwa ulivyoandika una stress sanaaaa. Anipelekeshe tu fresh kabisa si watoto watanufaika.
Una roho mbaya kishenzy blaza eti hanipendi. Mimi ni sio wa ku bet bar na ku discuss mipira sio wa kuchukua tu ushauri bila kutathmini.
Maneno hayajawahi kuniumiza ila furaha yangu ni priority na yeye na madogo ni furaha yangu.
Hata kama amerudi sababu ya madogo,tuna AMANi bro yaani freshiiiii
Hongera kwa bonge la gemuKifupi tu naomba kumshukuru member mmoja alieniambia nimuombe Mungu,of which I did sababu nilitaka msaada wowote wa kurudisha familia yangu nyumbani baada ya upupu niliokosea.
Nikiri, nilimsumbua sana hata alipokuwa hajibu au anarudisha hela nilizokuwa namtumia. Ila humu ndani kuna ushauri wa kila aina kuna wengine wanweza kukufanya ukaharibu kabisa.
Member mmoja alinishauri niendelee kumtafuta na nilipambana mno kumtafuta
Jana nimewachukua nyumbani kwao rasmi. Leo nimeamka mapema kuwaandalia breakfast baada ya kumchosha sanaa waifu na game zitooo la kulikosa karibu mwezi mzima. Watoto wangu leo nina mipango nao kama yote mazee. Shukran
Lesson:
1. Kama kichwa nitailinda hii familia kama kichwa kwelikweli. Na nyie washauri wa ajabu sijui nikome aniache, hajaniacha sasa.
2. Mkikoseana sameaneni ni heri shetani unaemjua kuliko malaika usiemjua na ulieanza nae maliza nae.
Pia soma: Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?
Heri yako 🙇🙇Kifupi tu naomba kumshukuru member mmoja alieniambia nimuombe Mungu,of which I did sababu nilitaka msaada wowote wa kurudisha familia yangu nyumbani baada ya upupu niliokosea.
Nikiri, nilimsumbua sana hata alipokuwa hajibu au anarudisha hela nilizokuwa namtumia. Ila humu ndani kuna ushauri wa kila aina kuna wengine wanweza kukufanya ukaharibu kabisa.
Member mmoja alinishauri niendelee kumtafuta na nilipambana mno kumtafuta
Jana nimewachukua nyumbani kwao rasmi. Leo nimeamka mapema kuwaandalia breakfast baada ya kumchosha sanaa waifu na game zitooo la kulikosa karibu mwezi mzima. Watoto wangu leo nina mipango nao kama yote mazee. Shukran
Lesson:
1. Kama kichwa nitailinda hii familia kama kichwa kwelikweli. Na nyie washauri wa ajabu sijui nikome aniache, hajaniacha sasa.
2. Mkikoseana sameaneni ni heri shetani unaemjua kuliko malaika usiemjua na ulieanza nae maliza nae.
Pia soma: Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?
Kifupi tu naomba kumshukuru member mmoja alieniambia nimuombe Mungu,of which I did sababu nilitaka msaada wowote wa kurudisha familia yangu nyumbani baada ya upupu niliokosea.
Nikiri, nilimsumbua sana hata alipokuwa hajibu au anarudisha hela nilizokuwa namtumia. Ila humu ndani kuna ushauri wa kila aina kuna wengine wanweza kukufanya ukaharibu kabisa.
Member mmoja alinishauri niendelee kumtafuta na nilipambana mno kumtafuta
Jana nimewachukua nyumbani kwao rasmi. Leo nimeamka mapema kuwaandalia breakfast baada ya kumchosha sanaa waifu na game zitooo la kulikosa karibu mwezi mzima. Watoto wangu leo nina mipango nao kama yote mazee. Shukran
Lesson:
1. Kama kichwa nitailinda hii familia kama kichwa kwelikweli. Na nyie washauri wa ajabu sijui nikome aniache, hajaniacha sasa.
2. Mkikoseana sameaneni ni heri shetani unaemjua kuliko malaika usiemjua na ulieanza nae maliza nae.
Pia soma: Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?
Mama Jay bado hajarudi? Unabembeleza?Heri yako 🙇🙇
Naungana na mtoa mada hii, hata wengine hawajui maana ya kuwa kichwa kwenye familia, wanafikiri ni ubabe tu na mwanamke ni ndiyo tu.Mkuu achana hizi sauti zitaabishazo
Focus on your marriage. Jenga ufalme wa Mungu duniani kupitia ndoa yako. Iheshimu ndoa, be a man be good. Mliapa wawili pale mbele. Miluzi mingi.....
Upendo ukaongezeke kwenu, nawatakia amani.
May the peace of God that SURPASSES ALL HUMAN UNDERSTANDING keep your heart and mind.
Dont look back, focus on your testimony. Kilichopatikana kwa maombi kinalindwa na maombi full stop.
#achananawatuwajf#
Kabisa..ujue watu wengi sana wanatafuta wife material lakini hata wao si husband materials.Naungana na mtoa mada hii, hata wengine hawajui maana ya kuwa kichwa kwenye familia, wanafikiri ni ubabe tu na mwanamke ni ndiyo tu.
Jifunze kujua msaidizi kwenye ndoa ina maana.
Umefanya jambo la maana sana, mpende mke wako na mheshimu na umsikilize.
Ndoa nyingi zilizodumu zina utaratibu wa kusikilizana na kuonyana
Mkuu naomba unisaidie kujibu haya maswali namimi nijifunze:-Unaonekana bado hujawa na uwezo wa kua baba wa familia, kua kichwa, you are not a man enough. Wewe ni mkia.
Na kwa mtindo ho huyo mwanamke atakua anakuacha mara kwa mara sana.
Halafu unajidanganya eti mkeo hajapata game mwezi mzima, nani kakudanganya?
Huyo mwanamke hakupendi ila wewe ndio unampenda sana. Atakupa shida sana. Inaonekana karudi sababu ya watoto na sio sababu anakupenda.
Expect the worsts.
Amekuta imebana zaidi kuliko zamaniVipi umeikuta kama ulivoiacha?