Mke wangu amepata zero kwenye interview, ananilaumu

Mke wangu amepata zero kwenye interview, ananilaumu

navin dippe

Member
Joined
May 18, 2015
Posts
47
Reaction score
104
Wakuu amani iwe kwenu,

Mimi ni afisa utumishi kwenye kampuni moja hivi hapa Dar es salaam. Hivi karibuni bodi ilitengeneza nafasi 12 mpya za kazi na kuzitangaza.Viongozi waligawana nafasi nafasi tatu kila mmoja na mimi kuniachia 3.

Huwa inakua hivyo kila tunapoajiri, katika hizo nafasi tatu nilizopewa nilipanga moja nimpe wife ambae amemaliza chuo mwaka Jana, nyingine ni mshikaji wangu ambae aliniandalia pesa na ya mwisho nimpe rafiki wa wife ambae wife
mwenyewe aliniomba. Mimi na wife tulioana akiwa na elimu ya form six hakuweza kuendelea kuna matatizo yalijitokeza, hivyo baada ya kumuoa ndipo nikampeleka chuo baada ya kukaa miaka 3 nyumbani.

Mwaka jana ndio amemaliza, so hivi juzi tukamwita kwa mtihani pamoja na wenzie kama 100 hivi tuliowachuja matokeo yalipotoka akawa amepata 2 ya 50 mi naita sifuri maana nilimuongezea mimi hizo mbili wakati nasahihisha.Bosi wangu akasema niamue nwenywe kama namchukua na matokeo hayo siku wakija auditors jumba bovu litaniangukia ni vyema nikasubiri nafasi zingine. Hivyo wale wengine 11 akiwemo na Rafiki yake wakaitwa kwa kazi

Sasa ndani kuna ugomvi kati yangu na mke wangu anasema ningemchykua hivyo hivyo hata kama kafeli. Nimemwelewesha hataki kuelewa kaninunia wiki sasa, hatuongeleshani tunaamka kama mabubu.Usiku saa ya kulala anavaa suruali za tight mbili na jeans juu na mkanda ndo analala tena kwenye kona ya kitanda.Nikimgusa ni ugomvi anasema ninatembea na rafiki yake niliempa kazi, nikimwelewesha kuwa yule alifaulu mtihani anadai tunamsaliti nyumba haina amani sasa.

Wadau najiuliza maswali kadhaa;
(1) Inakuaje graduate akapata 2 ya 50 kwa maswali ambayo wote tuliyasoma sekondari?
Mengine ya primary school?

(2) Inakuaje mtu anashindwa hesabu za ratio, kuandaa balance sheet, statement of ACC wakati chuo amepita mitihani na Ku graduate au ndo zile degree za chupi? Nalazimika kuwaza hivyo maana hainiingii akilini

Nikijaribu kumuuliza haya maswali anakua mkali anasema hataki maongezi. Kwa kweli nimechoka juzi nilikua naongea na rafiki yake kuhusu huu mgogoro kwa kweli alinifariji vizuri hadi nikafikria kuwa ni bora niwepo nae tu ukichukulia kuwa kwa sasa sipati conjugal rights .

Naomba mwongozo wenu

NB:
Tuna watoto wawili
 
hahaha daah kilaza anataka kazi aje aharibu iwe msala....mkuu huyo ni hasira tu wala usije msaliti kwa rafiki yake wewe endelea kumuelimisha atakuelewa mpe mifano hai muonyeshe madhara kama ukifukuzwa kazi na yeye pia taratibu atakuelewa
all the best
 
Pole sana mkuu, ila ki ukweli mkeo ni "kiazi kilicho oza huko kichwani", vumilia tu mkuu ndio madhara ya uzuri wa sura na umbo. kama unaweza mpeleke kwa wamasai wakamfundishe namna ya kusuka hata nywele za kimasai tu.
Ange+Kagame3.jpeg
 
navin dippe

Ndo maana wanawake wengi sana huko chuoni hua wanatoka na ziro za nguvu lakini wanapenya kwa hongo ya ngono,wachache sana wanaojitahidi kwa akili zao,huyo mkeo muache akae nyumbani atakuja kukuaibisha kazini siku moja kwa ukilaza wake tena mtafutie kitu cha kufanya binafsi na umjenge uwezo,akisema anatafuta kazi mahala pengine nakuhakikishia atapata kwa ngono,

mifano hiyo tunayo tulishaona fikili angemkuta HR asiemjua na anataka kazi ni nn kingetokea?wake zetu wanafanya ngono huko makazini kwa kushindwa kufikili vyema ktk kazi na kuishia kutembea na boss japo siyo wote ila wengi wako hivyo nimeona kwa macho yangu haya!
 
Last edited by a moderator:
Mungu wangu mkeo amepata cheti chuoni kwaajili ya kuvua chupi hilo halipingiki hata kama itakuuma 80% alivua chupi ku graduate ila kwa sasa msaidie kimawazo ila usimsaliti kuwa makini nae........
 
Wakuu amani iwe kwenu
Mimi ni afisa utumishi kwenye kampuni moja hivi hapa dar
Hivi karibuni bodi ilitengeneza nafasi 12 Mpya za kazi na kuzitangaza
Viongozi waligawana nafasi nafasi tatu kila mmoja na Mimi kuniachia 3
Huwa inakua hivyo kila tunapoajiri, katika hizo nafasi tatu nilizopewa nilipanga moja nimpe wife ambae amemaliza chuo mwaka Jana, nyingine ni Mshikaji wangu ambae aliniandalia pesa, na ya mwisho nimpe Rafiki Wa wife ambae wife mwenyewe aliniomba

Mimi na wife tulioana akiwa na elimu ya form six hakuweza kuendelea kuna matatizo yalijitokeza, hivyo baada ya kumuoa ndipo nikampeleka chuo baada ya kukaa miaka 3 nyumbani

Mwaka Jana ndo amemaliza, so hivi juzi tukamwita kwa mtihani pamoja na wenzie kama 100 hivi tuliowachuja

Matokeo yalipotoka akawa amepata 2 ya 50 mi naita sifuri maana nilimuongezea Mimi hizo mbili wakati nasahihisha

Bosi wangu akasema niamue nwenywe kama namchukua na matokeo hayo siku wakija auditors jumba bovu litaniangukia ni vyema nikasubiri nafasi zingine
Hivyo wale wengine 11 akiwemo na Rafiki yake wakaitwa kwa kazi

Sasa ndani kuna ugomvi kati yangu na mke wangu anasema ningemchykua hivyo hivyo hata kama kafeli
Nimemwelewesha hataki kuelewa kaninunia wiki sasa, hatuongeleshani tunaamka kama mabubu
Usiku saa ya kulala anavaa suruali za tight mbili na jeans juu na mkanda ndo analala tena kwenye kona ya kitanda
Nikimgusa ni ugomvi

Anasema ninatembea na Rafiki yake niliempa kazi, nikimwelewesha kuwa yule alifaulu mtihani anadai tunamsaliti

Nyumba haina amani sasa

Wadau najiuliza maswali kadhaa
(1) inakuaje graduate akapata 2 ya 50 kwa maswali ambayo wote tuliyasoma sekondari?
Mengine ya primary school?

(2)inakuaje mtu anashindwa hesabu za ratio, kuandaa balance sheet, statement of Acc wakati chuo amepita mitihani na Ku graduate au ndo zile degree za chupi?
Nalazimika kuwaza hivyo maana hainiingii akilini

Nikijaribu kumuuliza haya maswali anakua mkali anasema hataki maongezi

Kwa kweli nimechoka juzi nilikua naongea na Rafiki yake kuhusu huu mgogoro kwa kweli alinifariji vizuri hadi nikafikria kuwa ni bora niwepo nae tu ukichukulia kuwa kwa sasa sipati conjugal rights

Naomba mwongozo wenu

NB
Yaan na kujibeba kote kufanya interview kumbe mshagawana kazi..pole yake mim
 
Mungu wangu mkeo amepata cheti chuoni kwaajili ya kuvua chupi hilo halipingiki hata kama itakuuma 80% alivua chupi ku graduate ila kwa sasa msaidie kimawazo ila usimsaliti kuwa makini nae........

Kwa marks zile inawezekana kabisa, yaani 0/50, maskini!
 
Kwa kweli nimechoka juzi nilikua naongea na Rafiki yake kuhusu huu mgogoro kwa kweli alinifariji vizuri hadi nikafikria kuwa ni bora niwepo nae tu ukichukulia kuwa kwa sasa sipati conjugal rights

Naomba mwongozo wenu

NB
Tuna watoto wawili

Nalala... nikiamka akili itakua vizuri kutoa muongozo.
 
kumbuka kuna degree za "Chu.pi" Nyingi mno siku hizi
 
Back
Top Bottom