Sasa yeye kamwambia Baba mkwe wako umenuna, na wewe mbona umeiambia hii hadhara ya karibu watu laki tatu ndani na nje ya nchi!? Na yeye akununie!? Tulizana ndani ya ndoa yako acha kukurupuka na kukimbilia JF kuja kuropoka matatizo madogo madogo ya ndani ya ndoa yako.
Kijana acha kutuchosha! inaonekana umekurupuka tu kuoa, hukumshirikisha hata babu zako! kwa maana nyingine ni kwamba jando hujaenda!
Sasa yeye kamwambia Baba mkwe wako umenuna, na wewe mbona umeiambia hii hadhara ya karibu watu laki tatu ndani na nje ya nchi!? Na yeye akununie!? Tulizana ndani ya ndoa yako acha kukurupuka na kukimbilia JF kuja kuropoka matatizo madogo madogo ya ndani ya ndoa yako.
Si mmebaki wanawake tu....hongeleni
Sasa yeye kamwambia Baba mkwe wako umenuna, na wewe mbona umeiambia hii hadhara ya karibu watu laki tatu ndani na nje ya nchi!? Na yeye akununie!? Tulizana ndani ya ndoa yako acha kukurupuka na kukimbilia JF kuja kuropoka matatizo madogo madogo ya ndani ya ndoa yako.
Huyu jamaa ameenda jando kweli?au hakulelewa na Wazazi wake!!?
Hana kaba ya ulimi halafu anamshangaa mkewe.tafuta kufindwa ndoa si leso.usijitie za mtonga maji ya dawa kuoshea donda
Ebu taja tofauti kati ya matukio hayo mawili...ha ha ha
Mbona kihelehele wewe...au unajiona takooo mwenyewe...
bora kuolewa na gunia la misumari...wanaume wengi mmekua na akili fupi..
aliona hauna uwezo Ndo maana kakutafutia msaada.
Sasa umeongea naye na amekuomba msamaha mbona unaliendeleza huku?Ndio nmemwambia na ameniomba nmsamehee kwa hilo.
Mie sijaleta tatizo langu hapa nipate soln coz she still my wife even though.....
Nmetoa taarifa tu ili kushare experience na watu wa rika langu.
Labda unifundishe ni habari gani ambayo inatakiwa iwepo....nakwani kuileta ndo kutaka ushauri...