BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Sasa yeye kamwambia Baba mkwe wako umenuna, na wewe mbona umeiambia hii hadhara ya karibu watu laki tatu ndani na nje ya nchi!? Na yeye akununie!? Tulizana ndani ya ndoa yako acha kukurupuka na kukimbilia JF kuja kuropoka matatizo madogo madogo ya ndani ya ndoa yako.