Mkuu hata ukiwa na pesa bila hayo mambo hamna chochote.
tafuta mchepuko wanasaidia sana katika nyakati ngumu kama hizo unazopitia halafu mchungue mkeo uenda kuna mechi anapiga nje ya uwanja wa home. Vituko kama hivyo ndio dalili halisi kuwa kuna mtu anamtimizia zaidi yakoPole sana ndo mvumiliane huku ukijipooza na michepuko huko mtaani kama hali hii akiendelea nayo na kama mnaishi kwa amani tu hakuna shida!
Poa nitalifanyia kazitafuta mchepuko wanasaidia sana katika nyakati ngumu kama hizo unazopitia halafu mchungue mkeo uenda kuna mechi anapiga nje ya uwanja wa home. Vituko kama hivyo ndio dalili halisi kuwa kuna mtu anamtimizia zaidi yako
Imebidi niishie tu kucheka....
Najitahidi sana kumfanyia kila kilichondani ya uwezo wangu.We ndio unasema....sio umpe hela as in hard cash ila tumia hela kumpa vitu anavyovipenda au vitakavyomfanya afurahi.
Mara ya mwisho kumtoa mke wako out for a romantic dinner lini ?? Unamtoa out mkiwa mnakula fanya kama unamlisha a few spoons. It will really turn her ON.
Zawadi unamnunuliaga ??
Ulishawahi onyesha kuwambuka wazazi wake ??
Bana we jua hela sio kila kitu ila hela ina nguvu.
Kamshitaki kwa baba yake. Kwani ndiye aliyekukabidhi.Kama kichwa cha habari kilivyo mke wangu anakataa kunipa tendo la ndoa bado sababu sijaijua ila kuna maongezi fulani niliyakumbushia ambayo yalishapita hapo zamani sasa sijui hiyo ndiyo sababu mana hata nikimuuliza anijibu juzi niliomba penzi akanipa kishingo upande ukweli sikuridhika jana ndiyo kaninyima kabisa ushauri nifanyaje mana mimi ni mume wake halali na yeye ni mke wangu halali.
Kama kichwa cha habari kilivyo mke wangu anakataa kunipa tendo la ndoa bado sababu sijaijua ila kuna maongezi fulani niliyakumbushia ambayo yalishapita hapo zamani sasa sijui hiyo ndiyo sababu mana hata nikimuuliza anijibu juzi niliomba penzi akanipa kishingo upande ukweli sikuridhika jana ndiyo kaninyima kabisa ushauri nifanyaje mana mimi ni mume wake halali na yeye ni mke wangu halali.
Hahaaaa
Hata Biblia inasema uwe na kiasi ktk mambo yote, sasa we unataka kila siku????? Mh!!!! Hivi hamuwezi kujizuia? Kumbe mke anapokua mjamzito huwa mnachepuka sana.
...mkumbushie pia unavyompenda na jinsi unavyomdhamini tokea siku ya kwanza ILA kama unampenda kweli sasa wewe unamkumbusha mabaya tu ulitarajia mbuzi ukimlisha sumu atatoa maziwa. Gabage In Gabage OutKama kichwa cha habari kilivyo mke wangu anakataa kunipa tendo la ndoa bado sababu sijaijua ila kuna maongezi fulani niliyakumbushia ambayo yalishapita hapo zamani sasa sijui hiyo ndiyo sababu mana hata nikimuuliza anijibu juzi niliomba penzi akanipa kishingo upande ukweli sikuridhika jana ndiyo kaninyima kabisa ushauri nifanyaje mana mimi ni mume wake halali na yeye ni mke wangu halali.