Huo Ni uzungu zaidi maaanWewe wasema....simaanishi umpe hela as in hard cash ila tumia hela kumpa vitu anavyovipenda au vitakavyomfanya afurahi.
Mara ya mwisho kumtoa mke wako out for a romantic dinner lini ?? Unamtoa out mkiwa mnakula fanya kama unamlisha a few spoons wit sincere love & affection. It will really turn her ON.
Zawadi unamnunuliaga ??
Ulishawahi onyesha kuwambuka wazazi wake ??
Bana we jua hela sio kila kitu ila hela ina nguvu (U don't have to spend millions to make a woman happy).
Mkuu ushauri ni kitu cha bureAmtongoze tena hapa anakuja anasema ni mkewe kumbe upande wa pili ni hawara yake sasa kama anamnyima sisi wadau ndiyo tumlazimishe ampe? Mambo mengine siyo ya kila kinachotokea ndani ni kuleta uzi hapa akiri za kuambiwa uchanganye na zako.
Nimeomba tu ushauli jamani
Hakuna cha uzungu wala nn.Huo Ni uzungu zaidi maaan
Saaanaa na ndo hiyo wanasema huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe...unakuta anamnunia mume hata siku nzima basi mume anaamua kwenda kujipumzishaNi kweli
We ndo unafaa, unakunywaga soda gani vileeWewe wasema....simaanishi umpe hela as in hard cash ila tumia hela kumpa vitu anavyovipenda au vitakavyomfanya afurahi.
Mara ya mwisho kumtoa mke wako out for a romantic dinner lini ?? Unamtoa out mkiwa mnakula fanya kama unamlisha a few spoons wit sincere love & affection. It will really turn her ON.
Zawadi unamnunuliaga ??
Ulishawahi onyesha kuwambuka wazazi wake ??
Bana we jua hela sio kila kitu ila hela ina nguvu (U don't have to spend millions to make a woman happy).
We ndo unafaa, unakunywaga soda gani vilee

Endelea kunywa nakuja kulipaHahaha Castle Lite baridi na mishkaki mi 5.![]()
![]()

Upo sahihi mkuu ni kweli. Tunachepuka mke akiwa na mimba sababu ni miezi mingi ya kusubiri labda uwe na mke wa pili. Saa nyingine tunachepuka kama siku zake zinachukua karibu wiki nzimaHata Biblia inasema uwe na kiasi ktk mambo yote, sasa we unataka kila siku????? Mh!!!! Hivi hamuwezi kujizuia? Kumbe mke anapokua mjamzito huwa mnachepuka sana.
Ndoa zipo za kumwaga wewe unahangaika na mkeo kwani yeye ana nini cha tofauti. Wewe mburura kweli leo hii kuna mwanamke wa kumringia mume na wewe mume ukaweweseka. Wako wengi na hata ukitaka 2×3 kutwa kama dawa inawezekana. Piga chini chukua kisu zaidi yake.Kama kichwa cha habari kilivyo mke wangu anakataa kunipa tendo la ndoa bado sababu sijaijua ila kuna maongezi fulani niliyakumbushia ambayo yalishapita hapo zamani sasa sijui hiyo ndiyo sababu mana hata nikimuuliza anijibu juzi niliomba penzi akanipa kishingo upande ukweli sikuridhika jana ndiyo kaninyima kabisa ushauri nifanyaje mana mimi ni mume wake halali na yeye ni mke wangu halali.
Hahaha mi ninywe soda nimekua mwanafunzi.....teheEndelea kunywa nakuja kulipa![]()
Hiyo dozi ndiyo nishaianza mkuu asubuhi kanisalimia nimemkaushia kama Simjui.mkuu dawa yake moja tu usimuombe mzigo wala nini acha ela ya kula nenda job ludi muda mbovu ukiingia usile koga lala usimsemeshe wala nini tumia dozi iyo kwa siku 4mpaka 7 utayaona majibu
PoaNdoa zipo za kumwaga wewe unahangaika na mkeo kwani yeye ana nini cha tofauti. Wewe mburura kweli leo hii kuna mwanamke wa kumringia mume na wewe mume ukaweweseka. Wako wengi na hata ukitaka 2×3 kutwa kama dawa inawezekana. Piga chini chukua kisu zaidi yake.