Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Wakuu JF, Amani iwe nanyi
Kwanza kabisa nipende kutambua kuwa humu JF kuna mengi sana ya kujifunza kutoka kwa watu mbalimbali kama utajipa nafasi na muda wa kufanya hivyo.
Nina kisa ambacho kimenitokea, mnaweza kunicheka but i wont mind, what i need ni njia sahihi ya namna ya ku deal na Wife.
Najua huku kuna watu wameshapitia Changamoto mbalimbali kwenye mahusiano na ndoa zao, pia wapo walio come-out na njia/suluhu sahihi ya ku deal na hizo changamoto pasi kuathiri mahusiano/ndoa zao.
Iko hivi, I married this lady about 2 years back. Ndoa ni ya Kanisa(Lutheran), kila kitu kilikuwa sawa bin sawia. Baada ya muda mwenzangu akaniambia ameanza kusali kwenye Makanisa(Madhehebu) ya Kiroho hivyo basi yeye na u-Lutheran bye bye. Nikambishia kidogo, nikaona hii italeta shida kidogo kwa mtoto wetu mmoja tuliye naye, akakomaa sana nikaona sio issue kwanza ni yeye na Mungu wake hivyo nikampa go ahead.
With time kukazuka ratiba nyingine Church kwao kuwa Jumanne na Jumatano jioni wanaenda kusali mpaka kwenye saa mbili. Nikaona this must be a step to another surprise, nikapiga marufuku. Akakomaa nikamwambia aende anakoenda kusali ila ikifika saa moja jioni awe ndani nyumba. Tukafunga topic kwa kupeana game la maana that night.
Sasa nimekuja kujua kuwa kumbe ratiba (Jumanne na Jumatano) ya mpaka saa mbili iko pale pale, kinyume na makubaliano, hususan ni pindi ninapokuwa out of home. Mimi ni Mfanyabiashara mkubwa (sio wa nganda) na most of the time nakuwaga safarini. Pia nikaja kujua kuwa activities nyingi sana za kanisani kwao zinakuwa coordinated kutoka nyumbani kwangu.
Hili Binafsi limenistua, nimefikiri namna ya ku-deal na hili suala ila naona kila njia inayokuja kichwani kwangu imebeba kama ushetani fulani. Sitaki kumkosea Mungu wangu, nikaona sio issue ngoja nijaribu kupata uzoefu kutoka JF.
So far hajanionesha utovu wowote wa nidhamu, ila kuna kagiza na hisia mbaya inakuja kichwani kwangu.
IMPORTANT
Sitaki kusikia ushauri wa kujiunga na dini yao, nimeona inawa Brainwash kwa namna fulani.
Natanguliza shukrani
Copy to Mshanajr
Kwanza kabisa nipende kutambua kuwa humu JF kuna mengi sana ya kujifunza kutoka kwa watu mbalimbali kama utajipa nafasi na muda wa kufanya hivyo.
Nina kisa ambacho kimenitokea, mnaweza kunicheka but i wont mind, what i need ni njia sahihi ya namna ya ku deal na Wife.
Najua huku kuna watu wameshapitia Changamoto mbalimbali kwenye mahusiano na ndoa zao, pia wapo walio come-out na njia/suluhu sahihi ya ku deal na hizo changamoto pasi kuathiri mahusiano/ndoa zao.
Iko hivi, I married this lady about 2 years back. Ndoa ni ya Kanisa(Lutheran), kila kitu kilikuwa sawa bin sawia. Baada ya muda mwenzangu akaniambia ameanza kusali kwenye Makanisa(Madhehebu) ya Kiroho hivyo basi yeye na u-Lutheran bye bye. Nikambishia kidogo, nikaona hii italeta shida kidogo kwa mtoto wetu mmoja tuliye naye, akakomaa sana nikaona sio issue kwanza ni yeye na Mungu wake hivyo nikampa go ahead.
With time kukazuka ratiba nyingine Church kwao kuwa Jumanne na Jumatano jioni wanaenda kusali mpaka kwenye saa mbili. Nikaona this must be a step to another surprise, nikapiga marufuku. Akakomaa nikamwambia aende anakoenda kusali ila ikifika saa moja jioni awe ndani nyumba. Tukafunga topic kwa kupeana game la maana that night.
Sasa nimekuja kujua kuwa kumbe ratiba (Jumanne na Jumatano) ya mpaka saa mbili iko pale pale, kinyume na makubaliano, hususan ni pindi ninapokuwa out of home. Mimi ni Mfanyabiashara mkubwa (sio wa nganda) na most of the time nakuwaga safarini. Pia nikaja kujua kuwa activities nyingi sana za kanisani kwao zinakuwa coordinated kutoka nyumbani kwangu.
Hili Binafsi limenistua, nimefikiri namna ya ku-deal na hili suala ila naona kila njia inayokuja kichwani kwangu imebeba kama ushetani fulani. Sitaki kumkosea Mungu wangu, nikaona sio issue ngoja nijaribu kupata uzoefu kutoka JF.
So far hajanionesha utovu wowote wa nidhamu, ila kuna kagiza na hisia mbaya inakuja kichwani kwangu.
IMPORTANT
Sitaki kusikia ushauri wa kujiunga na dini yao, nimeona inawa Brainwash kwa namna fulani.
Natanguliza shukrani
Copy to Mshanajr