Mke wangu amebadilika sana

......vihela anavyopata vinampa kiburi sielewi...... (The Correct Answer Lies Here) !!
 
Ukiona mbwa anakubwekea ujue amepata mtu wa kumlisha.

Ukiona panya anamchekea paka ujue kuna shimo lipo karibu.

Kama ananuna nuna bila sababu muulize kinachomnunisha kama hajibu mwambie aende akanunie kwao, hajaolewa kuja kununa nuna (wakati huo ukimtolea virago vyake).

Fanya mpango na hiyo biashara irejee mikononi mwako na utafute mtu mwingine aisimamie.
 
nlishampeleka kwao kupumzka na nlipofka sku nageuka nikamega mdogo mtu potelea pote kama nlikosea..
 
Kaka WEWE una akili zaa MAISHA SANA salute mkuuu, big ideas
 
Muda mwingine mwanamke haendi bila kipigo au kuwa mkali, ukiwa soft sana ukadhani ndio mapenzi yeye ataona wewe ni dhaifu, mara moja moja akizingua piga hata vibao viwili vya mashavu
 
Hivi ulioa bila kufundishwa ndoa ni nini?Rudi kwenye basics za ndoa
 
Umeamua VYEMA na huo ndio Uanamume, mwanaume haimbi Taarabu ndani ya nyumba yake nguvu ya mwanaume ipo kwenye mikausho mikali vitendo vingi maneno maachache...
 
Mbona ni kama both team to score yami hujali naye hajali hii inekaaje
kwa vile sjaandka nn kilimpata baada ya uamuz wng huo ndo useme both team to score, kwa taarifa yako alikonda ndan ya sku 2 tu chakula hakpandi misamaha ya mdomo aligonga mwamba kwa sms aligonga mwamba, kwa kilio aligonga mwamba mi nlikuwa sjbu ktu wala hata sina hbr kwasasa yupo kwao nlimpeleka akajfunze.
 
Mkuu mpaka sasa hujampandisha cheo?

Kama huwezi mpeleke likizo ya miaka mitatu kwao
 
Mkuu umeoa Singida sehemu gani?
aaahaaaah umejuaje mwambaaaa? Nmeoa kijiji kimoja knaitwa UG'HAG'HA jiran na pale secondary...kama unapajua ukiwa hapo kijijin makiungu unaiona kwa mbali hata kwa mguu unafka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…