TANZIA Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Salim Ahmed afariki dunia

Allah amuweke katika Jannah, kweli kuugua sio kufariki. Pole kwa familia mama tulikuwa tunamuona anamuuguza mume wake kaondoka yeye kamuacha mume wake akiwa anaumwa. namfikiria ndugu yetu Salem Ahmed Salem na watoto wake. Mungu awape subra katika hili na wamshukuru Allah kwa kila kitu maana ndio hali halisi ya binadamu. kuondoka Mama katika nyumba sio jambo dogo.
Allahu Akbar..... ukisikia madhilaa na malipo Duniani basi tafakuri sana....
Mtu yupo kitandani ila mhudumu atoweka... hapo mawazo na uchungu unatawala chumbani..
Oooh God forbids!!
 
Duh! Kweli kifo kinastaajabisha. Mumewe SAS ndiye alikuwa hoi bin taabani na yeye marehemu ndiye alikuwa akimuuguza hata alipolazwa hospitali kule London, UK. Kwa maneno mengine yeye alikuwa katika hali nzuri kiafya ukilinganisha na mumewe. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape nguvu, subira na faraja wafiwa katika kipindi hiki kigumu kwao. 🙏
 
Duh! Kweli kifo kinastaajabisha. Mumewe SAS ndiye alikuwa hoi bin taabani na yeye marehemu ndiye alikuwa akimuuguza hata alipolazwa hospitali kule London, UK. Kwa maneno mengine yeye alikuwa katika hali nzuri kiafya ukilinganisha na mumewe. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape nguvu, subira na faraja wafiwa katika kipindi hiki kigumu kwao.
RIP Mama Salim.

Kulikuwa na kipindi cha Radio Tanzania Dar es Salaam kinaitwa "Pole". Cha kujulia hali wagonjwa. Nafikiri kilikuwa kila Jumapili kama sijakosea.

Wimbo wa kukitambulisha kipindi ulikuwa style ya zilipendwa moja hivi.

Mashairi yake yanasema.

"Ajuaye bwana mola, kwa mzima kuwa mfu, mgonjwa kuwa salaama, eeeeh, tunawapa pole".

Mgonjwa bado yupo, muuguzi ndiye kafariki!
 
EkwcTouWAAEq_Np.jpg
Haifunguki Mkuu
 
Niliwahi kusikia pia kwamba Wauguzi hasa kama ni mke au mume akiwa anamuuguza mwenzake mke/mume hali ya kumuona anateseka sana kwa ugonjwa huwaumiza sana wauguzaji na mara nyingi huwa chanzo cha kufa haraka. Kama utakumbuka yule Actor Christopher Reed aliyeanguka na farasi na kuvunjika mgongo hatimaye kupooza mwili mzima mkewe alikuwa na afya njema tu na hakuwa na umri mkubwa sana. Nilishangaa baada ya mumewe kufariki naye haukupita muda mrefu akafariki. Yeye ndiye aliyemuuguza kipindi chote na alianza kupoteza uzuri wake na kuonyesha usoni kukata tamaa ya maisha.

RIP Mama Salim.

Kulikuwa na kipindi cha Radio Tanzania Dar es Salaam kinaitwa "Pole". Cha kujulia hali wagonjwa. Nafikiri kilikuwa kila Jumapili kama sijakosea.

Wimbo wa kukitambulisha kipindi ulikuwa style ya zilipendwa moja hivi.

Mashairi yake yanasema.

"Ajuaye bwana mola, kwa mzima kuwa mfu, mgonjwa kuwa salaama, eeeeh, tunawapa pole".

Mgonjwa bado yupo, muuguzi ndiye kafariki!
 
Niliwahi kusikia pia kwamba Wauguzi hasa kama ni mke au mume akiwa anamuuguza mwenzake mke/mume hali ya kumuona anateseka sana kwa ugonjwa huwaumiza sana wauguzaji na mara nyingi huwa chanzo cha kufa haraka. Kama utakumbuka yule Actor Christopher Reed aliyeanguka na farasi na kuvunjika mgongo hatimaye kupooza mwili mzima mkewe alikuwa na afya njema tu na hakuwa na umri mkubwa sana. Nilishangaa baada ya mumewe kufariki naye haukupita muda mrefu akafariki. Yeye ndiye aliyemuuguza kipindi chote na alianza kupoteza uzuri wake na kuonyesha usoni kukata tamaa ya maisha.
Dah. Dr. Salim naye tumuangalie kwa karibu sana kipindi hiki mzee wetu.
 
RIP Amne Salim na pole kwa familia nzima.

Shikamoo jamiiforums kumbe humu jukwaani JF kuna kila rika, sikuwa na ufahamu huo. Pole Pohamba.
 
Back
Top Bottom