bbc
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 3,836
- 4,152
Uzuri wake akikukamata hatakuua polepole, atakumiminia SMG na kufa mara moja[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uoga Mkuu!unakataa papuchi ya bure bure kabisa?
Raisi wa wasafi au TFF?usiogope mkuu hata mke wa rais anachukuliwa na wajanja.
si kila mwanajeshi ni mtemi bali wengine ni mabaradhuli.
atakapogundua unamchukua mke wako tuletee mrejesho tafadhali
hata kama abgelikua mke wa muokota makopo mke wa mtu ni mke wa mtu usijaribu utauliwaWakuu nimetoka kijijni wiki ilopita Kuja hapa mjini kusaka maisha lakini nimekupambana na kasumba 1 Kuna Dada fulani hapa mtaani mke wa mwanajeshi anaomba mahusiano na mimi.
Nimewahi kupitia jkt kwa kujibu wa sheria Maramba tanga Sasa wale jamaa walivyo na roho Mbaya si atanitafuna mzima mzima..
Nimemkatalia lakini haelewi eti mmewe yupo bize Sanaa.. So anakosa wa kujivinjari nae! Wakuu isije ikawa mtego! Ila condom box 4 Maana hapa mjini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanajeshi ni mwanaume sawa na wewe, tafuta wa kwako mkuu.Wakuu nimetoka kijijni wiki ilopita Kuja hapa mjini kusaka maisha lakini nimekupambana na kasumba 1 Kuna Dada fulani hapa mtaani mke wa mwanajeshi anaomba mahusiano na mimi.
Nimewahi kupitia jkt kwa kujibu wa sheria Maramba tanga Sasa wale jamaa walivyo na roho Mbaya si atanitafuna mzima mzima..
Nimemkatalia lakini haelewi eti mmewe yupo bize Sanaa.. So anakosa wa kujivinjari nae! Wakuu isije ikawa mtego! Ila condom box 4 Maana hapa mjini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kujua umepaliwa makaa ya moti, MAANA YAKE UNAJUWA UBAYA WA JAMBO HILO.... Achana naye