Mke wa mwanajeshi ananitaka kimapenzi

Mke wa mwanajeshi ananitaka kimapenzi

kesho kutwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2016
Posts
1,722
Reaction score
1,993
Wakuu nimetoka kijijni wiki ilopita Kuja hapa mjini kusaka maisha lakini nimekupambana na kasumba 1 Kuna Dada fulani hapa mtaani mke wa mwanajeshi anaomba mahusiano na mimi.

Nimewahi kupitia jkt kwa kujibu wa sheria Maramba tanga Sasa wale jamaa walivyo na roho Mbaya si atanitafuna mzima mzima..

Nimemkatalia lakini haelewi eti mmewe yupo bize Sanaa.. So anakosa wa kujivinjari nae! Wakuu isije ikawa mtego! Ila condom box 4 Maana hapa mjini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nimetoka kijijni wiki ilopita Kuja hapa mjini kusaka maisha lakini nimekupambana na kasumba 1 Kuna Dada fulani hapa mtaani mke wa mwanajeshi anaomba mahusiano na mimi.
Nimewahi kupitia jkt kwa kujibu wa sheria Maramba tanga Sasa wale jamaa walivyo na roho Mbaya si atanitafuna mzima mzima..
Nimemkatalia lakini haelewi eti mmewe yupo bize Sanaa.. So anakosa wa kujivinjari nae! Wakuu isije ikawa mtego! Ila condom box 4 Maana hapa mjini.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu we suuza rungu tu haina shida ila ukikutwa wew na uyo mjeda anakupukuchua
 
usiogope mkuu hata mke wa rais anachukuliwa na wajanja.
si kila mwanajeshi ni mtemi bali wengine ni mabaradhuli.
atakapogundua unamchukua mke wako tuletee mrejesho tafadhali​
 
Kila la heri MKUU ,
Haijarsh vyovyote ila mtu yoyote akitambua unatembea na mke wake n atari

Huyo n mkubwa kaka panga nae mipango upachue mzgo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nimetoka kijijni wiki ilopita Kuja hapa mjini kusaka maisha lakini nimekupambana na kasumba 1 Kuna Dada fulani hapa mtaani mke wa mwanajeshi anaomba mahusiano na mimi.

Nimewahi kupitia jkt kwa kujibu wa sheria Maramba tanga Sasa wale jamaa walivyo na roho Mbaya si atanitafuna mzima mzima..

Nimemkatalia lakini haelewi eti mmewe yupo bize Sanaa.. So anakosa wa kujivinjari nae! Wakuu isije ikawa mtego! Ila condom box 4 Maana hapa mjini.

Sent using Jamii Forums mobile app
We unaishi ubungo sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uoga mwanajeshi kitu gani. Kula mzigo fasta

MGC
 
Wakuu nimetoka kijijni wiki ilopita Kuja hapa mjini kusaka maisha lakini nimekupambana na kasumba 1 Kuna Dada fulani hapa mtaani mke wa mwanajeshi anaomba mahusiano na mimi.

Nimewahi kupitia jkt kwa kujibu wa sheria Maramba tanga Sasa wale jamaa walivyo na roho Mbaya si atanitafuna mzima mzima..

Nimemkatalia lakini haelewi eti mmewe yupo bize Sanaa.. So anakosa wa kujivinjari nae! Wakuu isije ikawa mtego! Ila condom box 4 Maana hapa mjini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwa nini mnawaogopa sana wanajeshi? Mnawapa ujiko wasio stahili.
 
Back
Top Bottom