kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,993
Wakuu nimetoka kijijni wiki ilopita Kuja hapa mjini kusaka maisha lakini nimekupambana na kasumba 1 Kuna Dada fulani hapa mtaani mke wa mwanajeshi anaomba mahusiano na mimi.
Nimewahi kupitia jkt kwa kujibu wa sheria Maramba tanga Sasa wale jamaa walivyo na roho Mbaya si atanitafuna mzima mzima..
Nimemkatalia lakini haelewi eti mmewe yupo bize Sanaa.. So anakosa wa kujivinjari nae! Wakuu isije ikawa mtego! Ila condom box 4 Maana hapa mjini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewahi kupitia jkt kwa kujibu wa sheria Maramba tanga Sasa wale jamaa walivyo na roho Mbaya si atanitafuna mzima mzima..
Nimemkatalia lakini haelewi eti mmewe yupo bize Sanaa.. So anakosa wa kujivinjari nae! Wakuu isije ikawa mtego! Ila condom box 4 Maana hapa mjini.
Sent using Jamii Forums mobile app