Mke wa mwanajeshi ananiganda, hataki kuniacha

Mke wa mwanajeshi ananiganda, hataki kuniacha

Kifurukutu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
4,666
Reaction score
6,742
Wakuu

Nimejitokeza kwenu wataalamu wa haya mambo ili niweze achana na huyu mwanamke wa mwanajeshi kwa amani na usalama wangu

Ni kweli nimeshamgegeda na hapo awali sikujua kama ni mke wa mwanajeshi, baada ya kujua hivyo nimekuwa muoga sana, nimejawa hofu nikimueleza tusitishe mahusiano analia, ananibembeleza na kunipa penzi moto moto muda anaokuwa na nafasi

Hapa sina jinsi maana za mwizi ni 40, pia huyu mwanamke aliwahi niambia kuwa mumewe ni mtu hatari na katili sana hivyo tuwe makini na kuchepuka kwake kwani siku ikijulikana nitapata taabu sana au labda nihame hili jiji niache raha zote za jijini

Huyu mke wa mwanajeshi ananipenda sana, kaelewa penzi langu sana nikimuacha ataumia sana maisha, namsikitikia namuonea huruma pia
Naombeni ushauri, nikabiriane vipi na hii hali
 
Jifunze kujali maisha yako kwanza. Jifanye unamuhurumia yaje yakutokee puani. Wacha ujinga.
Atakuletea balaa mkuu
Wakuu

Nimejitokeza kwenu wataalamu wa haya mambo ili niweze achana na huyu mwanamke wa mwanajeshi kwa amani na usalama wangu

Ni kweli nimeshamgegeda na hapo awali sikujua kama ni mke wa mwanajeshi, baada ya kujua hivyo nimekuwa muoga sana, nimejawa hofu nikimueleza tusitishe mahusiano analia, ananibembeleza na kunipa penzi moto moto muda anaokuwa na nafasi

Hapa sina jinsi maana za mwizi ni 40, pia huyu mwanamke aliwahi niambia kuwa mumewe ni mtu hatari na katili sana hivyo tuwe makini na kuchepuka kwake kwani siku ikijulikana nitapata taabu sana au labda nihame hili jiji niache raha zote za jijini

Huyu mke wa mwanajeshi ananipenda sana, kaelewa penzi langu sana nikimuacha ataumia sana maisha, namsikitikia namuonea huruma pia
Naombeni ushauri, nikabiriane vipi na hii hali
 
Unamuoneq huruma mzinzi mkubwa wewe endelea na mkwe wa mtu huyo siku zako zina hesabika
 
Mkuu nadhan unaham na mazoezi ya jeshi kwenye mwili wako
Endelea kumla mke wa watu fatiki zkikuangukia "ningejua zisiwepo"

Ila yawepo maneno ya kiume kma "nastahili hya mateso"
 
Oopppsssss hivi 2020 ni uchaguzi, angalia usijekuta huna kidole hata kimoja cha kuchovya ktk wino ukashindwa kupiga kura ukapoteza haki yako
 
Back
Top Bottom