Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,666
- 6,742
Wakuu
Nimejitokeza kwenu wataalamu wa haya mambo ili niweze achana na huyu mwanamke wa mwanajeshi kwa amani na usalama wangu
Ni kweli nimeshamgegeda na hapo awali sikujua kama ni mke wa mwanajeshi, baada ya kujua hivyo nimekuwa muoga sana, nimejawa hofu nikimueleza tusitishe mahusiano analia, ananibembeleza na kunipa penzi moto moto muda anaokuwa na nafasi
Hapa sina jinsi maana za mwizi ni 40, pia huyu mwanamke aliwahi niambia kuwa mumewe ni mtu hatari na katili sana hivyo tuwe makini na kuchepuka kwake kwani siku ikijulikana nitapata taabu sana au labda nihame hili jiji niache raha zote za jijini
Huyu mke wa mwanajeshi ananipenda sana, kaelewa penzi langu sana nikimuacha ataumia sana maisha, namsikitikia namuonea huruma pia
Naombeni ushauri, nikabiriane vipi na hii hali
Nimejitokeza kwenu wataalamu wa haya mambo ili niweze achana na huyu mwanamke wa mwanajeshi kwa amani na usalama wangu
Ni kweli nimeshamgegeda na hapo awali sikujua kama ni mke wa mwanajeshi, baada ya kujua hivyo nimekuwa muoga sana, nimejawa hofu nikimueleza tusitishe mahusiano analia, ananibembeleza na kunipa penzi moto moto muda anaokuwa na nafasi
Hapa sina jinsi maana za mwizi ni 40, pia huyu mwanamke aliwahi niambia kuwa mumewe ni mtu hatari na katili sana hivyo tuwe makini na kuchepuka kwake kwani siku ikijulikana nitapata taabu sana au labda nihame hili jiji niache raha zote za jijini
Huyu mke wa mwanajeshi ananipenda sana, kaelewa penzi langu sana nikimuacha ataumia sana maisha, namsikitikia namuonea huruma pia
Naombeni ushauri, nikabiriane vipi na hii hali
