Mke wa mtu

Mke wa mtu

Njia kuu ya mwenzio ndo chepuko lako
Na mwanaume wa ukwel haogopi mwanaume mwenzie
 
Kama umechonga mzinga ahirisha kuutundika manake episode zinazofuata hutaziona.....
 
You never knew she was married in the first place so hapo kwa umbali it was not your mistake but now that you know, run for the hills mkuu!!
 
Acha woga mkuu, kwenye katiba mpya tutaweka kifungu cha kuruhusu kula mke wa mtu
 
Daaah hivi kwanini ukianzisha mahusiano na mke wa mtu ni kazi sana kukatisha na mwisho wake huwa ni fumanizi???....Nimenasa kwa mke wa mtu sikuwa najua kama ameolewa wakati natupa mshipi, baada ya penzi ndo anasema yeye ni mke wa mtu wakati nshachonga mzinga mie kwa asali ilivotamu. nimenasa na pezi lake sasa nawaza nifanye nini coz nipo njia panda..

sasa kinakushinda nini kuimwaga hiyo asali? au ndio mzinga uliouchonga umekunasa kwa ulimbo? ikiwa hivyo wee endelea kufaidi hiyo asali huku ukisubiria maumivu tu
 
Mkuu hakikisha muda wote unatembea na na kile kikopo kidogo cha VASELINE.


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
siku hizi unaliwa tu mzigo na picha zinapigwa after tukio, piga chini kaka kabla tabia

haijawa sugu
 
We wachana na iyo mambo ww tazama kwanza kandanda Algeria inaongoza bao 3 - 0 kipindi cha pili ndo kinaanza sasa
 
Back
Top Bottom