Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
eeeeh itabidi aachie tu marinda
Unantisha sana ww
eeeeh itabidi aachie tu marinda
Unantisha sana ww
dawa ya wote wanaopenda vya watu hiyo
dawa ya wote wanaopenda vya watu hiyo
Heheheheh dah...unafurahia mtu akitatuliwa
Daaah hivi kwanini ukianzisha mahusiano na mke wa mtu ni kazi sana kukatisha na mwisho wake huwa ni fumanizi???....Nimenasa kwa mke wa mtu sikuwa najua kama ameolewa wakati natupa mshipi, baada ya penzi ndo anasema yeye ni mke wa mtu wakati nshachonga mzinga mie kwa asali ilivotamu. nimenasa na pezi lake sasa nawaza nifanye nini coz nipo njia panda..
Njia panda kwa mke wa mwanaume mwenzio,seriously?? Mla vya wenzie??.....
Endelea kujigongea tu mwaya
wadau hivi musoma mjini dadapoa wanapatikana wapi?