Thank God mke wangu haipendi JF...
Tuko bwana kumbe na wewe unavituko! Kama ndivyo alivyokwambia kakudanganya, usiku utakapomPM ndio utaelewa....
We ni mkaarrriiiiiimie waliwahi kugongana kwenye chumba changu cha kuDEMUlia halafu wote hao ni wake za watu na wanajuana basi hakuna aliyethubutu kurusha ngumi,sasa hivi ni marafiki kupita maelezo. Na log off
Umenogewa ee..!?hehehe kazi kwelikweli
Kwa kuongezea.....
- Hakikisha ni "hit and run"
- Hakikisha possibility ya kukutana na hubby ni minimal
- Hakikisha kua at first glance amzidi mumeo...
- Kama ni kwa ajili ya Mpunga... Then hakuna wasi wasi hapa....
- Kama ndo umevutiwa ji-commit on the condition kua mko mbali kuonana mpaka iwa cost... Hio ina monitor nidhamu.
mie waliwahi kugongana kwenye chumba changu cha kuDEMUlia halafu wote hao ni wake za watu na wanajuana basi hakuna aliyethubutu kurusha ngumi,sasa hivi ni marafiki kupita maelezo. Na log off
Mh! ya leo kali. Kuna watu waliwaka wakati The boss anatoa angalizo, kumbe na wanawake yanawezekana? wacha nikakumbatie mdori wangu tulale ya kesho hatuyajui.
Bishanga,
Huu uzoefu - kama siyo copy& paste - inaonyesha jinsi gani unavyo-DO wake wa wenzio kwa kwenda mbele!
Hii kitu sijui ilinipita wapi sweetie afu kwa makusudi hunaniprintia wakati ya Bishanga ya Jana umeniletea.......