J.lee
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,672
- 834
Usinifanyue hivyo mwenzio inanisaidia kufanya manunuzi ya bidhaa za kuondoa chunusiNakurudisha kwenu na msmatifon wako wa kichina.
Usinifanyue hivyo mwenzio inanisaidia kufanya manunuzi ya bidhaa za kuondoa chunusiNakurudisha kwenu na msmatifon wako wa kichina.
Si selfie zinanoga zaidi tukiwa tunachezea "ekotiteeee"...
Kabla ya hajaanza kumiliki smart phone mbona tulikua tunamgegeda mkeo kila siku kitaa95% ya wake za watu wenye smart phone wanachepuka.Tangu lini mke wa mtu akawa na smart phone? Hizi ndo zinatumika kuleta usaliti mkubwa kwenye ndoa.Unakuta mke wa mtu yupo busy na mitandao, halafu mwanaume mzima na ndevu zako umetulia tu kama juha.
Mke wa mtu anatafuta nini mitandaoni kama siyo umalaya? Anachat nini na nani na kwa malengo yapi?Ni wakati wa wanaume kujitambua sasa, huo usawa wanaotaka wanawake haupo ng'oo!
Mwanamke anabaki kuwa mwanamke tu.Mungu alimtoa mwanamke katika ubavu tena wa kushoto wa mwanaume.Smart phone ni kwa ajili ya wanaume tu.
Mwanamke anaishi kwa mipaka mingi sana tofauti na mwanaume.Poleni wanaume wote ambao wake zenu wana smart phone, kuchapiwa hakukwepeki kabisa.
Hahaha yule aliyetukuka?
Hahaha huyu sie bana gelofriend, msome vizuriNaaam huyo huyo ha ha huoni ni mzee wa antibiotics mule mule yani
Ha ha ha popoma aelitukukaHahaha huyu sie bana gelofriend, msome vizuri
Word mkuuMada yako nzuri sema umepaniki...
Andika madhara ya smartphone kwa wake za watu au namna bora ya kuitumia kwa watu walioko kwenye ndoa.
95% ya wake za watu wenye smart phone wanachepuka.Tangu lini mke wa mtu akawa na smart phone? Hizi ndo zinatumika kuleta usaliti mkubwa kwenye ndoa.Unakuta mke wa mtu yupo busy na mitandao, halafu mwanaume mzima na ndevu zako umetulia tu kama juha.
Mke wa mtu anatafuta nini mitandaoni kama siyo umalaya? Anachat nini na nani na kwa malengo yapi?Ni wakati wa wanaume kujitambua sasa, huo usawa wanaotaka wanawake haupo ng'oo!
Mwanamke anabaki kuwa mwanamke tu.Mungu alimtoa mwanamke katika ubavu tena wa kushoto wa mwanaume.Smart phone ni kwa ajili ya wanaume tu.
Mwanamke anaishi kwa mipaka mingi sana tofauti na mwanaume.Poleni wanaume wote ambao wake zenu wana smart phone, kuchapiwa hakukwepeki kabisa.