Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,595
Mtoa mada next topic yako iwe mme wa mtu smartphone yanini??
"..Mkuu umeongea kwa hisia.. sana bibie anayo nini?"95% ya wake za watu wenye smart phone wanachepuka.Tangu lini mke wa mtu akawa na smart phone? Hizi ndo zinatumika kuleta usaliti mkubwa kwenye ndoa.Unakuta mke wa mtu yupo busy na mitandao, halafu mwanaume mzima na ndevu zako umetulia tu kama juha.
Mke wa mtu anatafuta nini mitandaoni kama siyo umalaya? Anachat nini na nani na kwa malengo yapi?Ni wakati wa wanaume kujitambua sasa, huo usawa wanaotaka wanawake haupo ng'oo!
Mwanamke anabaki kuwa mwanamke tu.Mungu alimtoa mwanamke katika ubavu tena wa kushoto wa mwanaume.Smart phone ni kwa ajili ya wanaume tu.
Mwanamke anaishi kwa mipaka mingi sana tofauti na mwanaume.Poleni wanaume wote ambao wake zenu wana smart phone, kuchapiwa hakukwepeki kabisa.
Nisaidie kumuuliza hapo ili nami nipate majibu.kabla ya smart fone unadhani kulikuwa hakuna michepuko? mke wako anatumia simu gani?
Atakuwa anatufurahisha tu huyu.Teh hivi mpendwa upo serious kweli au?
Na kweliMtu kama huyu hata hiyo ndoa anaiona kwa jirani tu, hata maana ya ndoa haijui.
Kuna siku nlikuambia Mirembe huwa wanatoa likizo ya wagonjwa sugu ukanibishia.Teh hivi mpendwa upo serious kweli au?
Hahahaha tutabanana hapahapa ukipita hapa mi napita kuleeeKale kaTecno kako leo nakafungia kabatini.
Hapa kazi tu
Nakurudisha kwenu na msmatifon wako wa kichina.Hahahaha tutabanana hapahapa ukipita hapa mi napita kuleee
Hahaha babu ndo kusema hamtaki na sisi tu-tachi tachiKuna siku nlikuambia Mirembe huwa wanatoa likizo ya wagonjwa sugu ukanibishia.
Ubishi haukusaidii sana...
Teh nahisi hivyo piaAtakuwa anatufurahisha tu huyu.
Hahaha yule aliyetukuka?Gelofriend humjui popoma? Rafiki ake Nifah
Si selfie zinanoga zaidi tukiwa tunacheza "ekotiteeee"...Hizo hizo selfie ndo hatuzitaki, ili umwoneshe nani wakati mi nakuona?
Itabidi tuwanunulie kamera kwa ajili ya picha.