Mke wa mtu, Smart phone ya nini?

Mke wa mtu, Smart phone ya nini?

Mtoa mada next topic yako iwe mme wa mtu smartphone yanini??
 
"
95% ya wake za watu wenye smart phone wanachepuka.Tangu lini mke wa mtu akawa na smart phone? Hizi ndo zinatumika kuleta usaliti mkubwa kwenye ndoa.Unakuta mke wa mtu yupo busy na mitandao, halafu mwanaume mzima na ndevu zako umetulia tu kama juha.

Mke wa mtu anatafuta nini mitandaoni kama siyo umalaya? Anachat nini na nani na kwa malengo yapi?Ni wakati wa wanaume kujitambua sasa, huo usawa wanaotaka wanawake haupo ng'oo!

Mwanamke anabaki kuwa mwanamke tu.Mungu alimtoa mwanamke katika ubavu tena wa kushoto wa mwanaume.Smart phone ni kwa ajili ya wanaume tu.

Mwanamke anaishi kwa mipaka mingi sana tofauti na mwanaume.Poleni wanaume wote ambao wake zenu wana smart phone, kuchapiwa hakukwepeki kabisa.
"..Mkuu umeongea kwa hisia.. sana bibie anayo nini?"
 
kabla ya smart fone unadhani kulikuwa hakuna michepuko? mke wako anatumia simu gani?
Nisaidie kumuuliza hapo ili nami nipate majibu.

Mdogo angu sumbai karibu sana nilikumiso
 
kama mtoa mada hana shida kwenye rltn yake atakuwa ni mbinafsi sana.
 
Hivi kwani kabla ya smartphone wake za watu walikua hawachepuki mpendwa??
 
Mtu kama huyu hata hiyo ndoa anaiona kwa jirani tu, hata maana ya ndoa haijui.
 
Nampa pole mkeo /mpenzio/ kwa kumilkiwa na zezeta km ww!!
 
Mhaa! Wala sio zezeta aliyosema yanaukweli ndaniyake mitandao kama badoo mke wamtu unatuma pch unaonyesha makalio unataka nini
 
"...Smartphones ni kwa wanaume tu..!""

Hahahaaaaa mkuu upo vizuri😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom