Mazoea ya mwanaume kuwa wa kwanza kuanzisha mahusiano iko saaaana vijijini .... but mjini huko wanawake wa "kileo" wamecharuka balaaTumezoea kwamba mwanaume ndio anakua wa kwanza kuanzisha mjadala kwenye mambo ya mahusiano, ina maana wajue kabisa athari zinazoweza kutokea pale wanapoamua kujihusisha na wake za watu. Mapenzi yeyote nje ya wanandoa stahiki ni simu. Si mke wa MTU wala Mme wa MTU, wote sumu tu.
Mazoea ya mwanaume kuwa wa kwanza kuanzisha mahusiano iko saaaana vijijini .... but mjini huko wanawake wa "kileo" wamecharuka balaa
Mkuu kwahiyo wewe ni malayautamaduni uliopo mwanaume anaweza kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja na jamii ikamsifia ila mwanamke akiwa na mwanaume zaidi ya mmoja jamii itamuita malaya
mimi sijui hataMkuu kwahiyo wewe ni malaya
Mwambie wewe ni wangu tu!mimi sijui hata
mimi wa joshydamaMwambie wewe ni wangu tu!
Wewe !! huo mchezo haunaga Offside.... ???Sumu ukishikwa ila kama unacheza mchezo wako vizuri hata hakuna shida
Kwani wewe una mwanaume mmoja?mimi sijui hata
naendesha zoteMkuu hizi gari huwez endesha wallah
Kuna wanawake hatari na wenye WIVU ulopindukia kwa waume zao na hasa kama aligharamia vilivyo ama "anakunwa" ipasavyo .... hao ndg ni nooooma .... kutoa roho ya mtu ama kumuendea kwa "mzee wa busara" si ajabu kabisaIko hivi Mwanamke hata akimfumania mumewe na mwanamke mwingine obvious reaction huwa ni ni ndogo kuliko mwanaume amfumanie Mkewe na Mwanaume mwingine Mara nyingi huwa hakuna adhabu nzuri kwa Mtu aliyefumaniwa watu wanaliwa mpaka ndogo kama kisasi wengine wanauawa hicho ndo kinasababisha mke wa mtu kuwa Sumu.