Mke wa mtu kulazimisha penzi

Mke wa mtu kulazimisha penzi

Mkuu pole sana, una option kadhaa za kujitoa.

1. Mambie hutaki mawasiliano naye, na uwe seriuos.

2. Akizingua mtafute mme wake mweleze kila kitu, ila uwe na uhakika kwamba ameshindwa kukuelewa na kweli anaweza kukuharibia.

Ninaamini umeomba huu ushauri ukiwa kweli unataka kuachana na hilo.

Ahsante sana mkuu hakika ninaniya ya kuacha maana ikijulikana itakuwa shida kwangu pia aibu coz me bado mdogo kwake and mother mtu wa heshma sana
 
Ahsante sana mkuu hakika ninaniya ya kuacha maana ikijulikana itakuwa shida kwangu pia aibu coz me bado mdogo kwake and mother mtu wa heshma sana

Basi kuwa serious, acha mawasiliano naye.

Na ukienda likizo akazingua, bila hata kumtisha mtafute mme wake mwambie kila kitu ili wewe ubaki huru.

Kama ukimweleza hutaki uhusiano naye akakkuelewa kaa kimya.
 
Basi kuwa serious, acha mawasiliano naye.

Na ukienda likizo akazingua, bila hata kumtisha mtafute mme wake mwambie kila kitu ili wewe ubaki huru.

Kama ukimweleza hutaki uhusiano naye akakkuelewa kaa kimya.

Ahsante na ahsanteni kwa kunifungua kichwa wakuu,
 
Hum Jf kuna watu wanaboa kama mtu unahis mtoto ucdharau alichoandika coz hata cc tunaokua saizi tunakutana na mengi kwenye jamii
 
Mmh brother think twice

mkuu bahati haiji mara mbili, we msugue kidogo
uone atavyo tulia kama maji ya mtungini.

attachment.php
 
hapana kumfanyia kitu kitachomfunga mdomo na.kumfanya awe muoga kukufuata.japo sipendi kukuonesha mbinu hii maana ntakuwa nakushauributende dhambi.
tumia njia za kawaida kumuepuka

Okay ahsante but if kama unahisi itafaa DM brother
 
Brother huyo mtu ana namba yangu tokea niko form one alafu hata nikichange namba bado easy sana kupata akimuambia mama atampa tu coz wote home wanajua kama zamani tu kwamba she z my sister alafu kananipenda tokea hapo so it's too easy kuhusu mawasiliano

Hapo hata sijaona cha kukuumiza kichwa,
Ushahidi wa msgs zake upo,
Nenda nyumban kamuoneshe mama, mama nae atawaambia wengn mume wa huyo dada nae itabidi ajue kikao kitafanyika kesi itasikilizwa.

Tofauti na hapo hakuna solution.
 
Samahani wadau,

Thread inautata kidogo ila mnisaidie nakwepaje hili suala.
Mie mwenyeji wa Newala, Mtwara, Tanzania.

Now niko mwaka wa pili kule utumishi Magogoni DSM.
Wakati nasoma Newala day secondary kule Mtwara mwaka wa mwisho I mean form 4, nyumbani jirani yetu alikua na matatizo.

Mume wa huyo mdada alikua anataka kuoa mke wapili ila walikua hawajakubaliana suala ambalo lilimtesa yule dada, baadae mume akaoa kinguvu so mke mkubwa akawa anakesha analia kila siku, majirani tulijaribu kukaa nae na kumsihi ahimili lile suala, ikawa ngum and kila siku ikawa anakuja home na kunisimulia mambo mengi nyuma ya panzia mie nikawa nammbembeleza tu na kumfariji kwa kupga nae story kwa charting text sms.

Nilikua namheshimu kama dada maana kanipita hata miaka 7 nadhan, na amenishuhudia hatua mbali mbali za ukuaji wangu tokea utotoni,
Shida imekuja baada ya mimi kutoka na kuanza chuo, amekuwa akinitumia sms za mapenzi hata mwishowe akasema what's wrong with her to me, akawa analia kila siku akibembeleza nimkubalie nilivyokua nikienda likizo ndo anazidi mpaka watu wakaanza kunihis vibaya.

Sasa now days ndo kanipa mtihani anasema nikirudi atanifanyia kitu mbaya kama simkubalii ku do nae atanitengenezea kesi, na huyo mumewe ni kauzu sana.

Nisaidieni nisolve vipi na nyumbani naitwa na mother naishia kumzungusha guys help me!

Please make it serious, naumia kichwa hili suala
Kumbe dada mwenyewe kazi yake ni kulialia tu?

Na wewe Anza kulia ili asikutengenezee kesi mtakua Ngoma droo
 
Samahani wadau,

Thread inautata kidogo ila mnisaidie nakwepaje hili suala.
Mie mwenyeji wa Newala, Mtwara, Tanzania.

Now niko mwaka wa pili kule utumishi Magogoni DSM.
Wakati nasoma Newala day secondary kule Mtwara mwaka wa mwisho I mean form 4, nyumbani jirani yetu alikua na matatizo.

Mume wa huyo mdada alikua anataka kuoa mke wapili ila walikua hawajakubaliana suala ambalo lilimtesa yule dada, baadae mume akaoa kinguvu so mke mkubwa akawa anakesha analia kila siku, majirani tulijaribu kukaa nae na kumsihi ahimili lile suala, ikawa ngum and kila siku ikawa anakuja home na kunisimulia mambo mengi nyuma ya panzia mie nikawa nammbembeleza tu na kumfariji kwa kupga nae story kwa charting text sms.

Nilikua namheshimu kama dada maana kanipita hata miaka 7 nadhan, na amenishuhudia hatua mbali mbali za ukuaji wangu tokea utotoni,
Shida imekuja baada ya mimi kutoka na kuanza chuo, amekuwa akinitumia sms za mapenzi hata mwishowe akasema what's wrong with her to me, akawa analia kila siku akibembeleza nimkubalie nilivyokua nikienda likizo ndo anazidi mpaka watu wakaanza kunihis vibaya.

Sasa now days ndo kanipa mtihani anasema nikirudi atanifanyia kitu mbaya kama simkubalii ku do nae atanitengenezea kesi, na huyo mumewe ni kauzu sana.

Nisaidieni nisolve vipi na nyumbani naitwa na mother naishia kumzungusha guys help me!

Please make it serious, naumia kichwa hili suala

Mkuu hata mazoea na mke wa mtu ni hatari kwa usalama wako.....anyway ukipita hapo posta opposite na NMB newala hiyo nyumba yenye frem nyingi za biashara nisaimie DJ ISSA
 
Sasa kama unaushahd wa sms za vitisho wewe unachoogopa ni nini hasa??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom