Mke wa mtu kulazimisha penzi

Mke wa mtu kulazimisha penzi

Lee Napoleon

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
896
Reaction score
568
Samahani wadau,

Thread inautata kidogo ila mnisaidie nakwepaje hili suala.
Mie mwenyeji wa Newala, Mtwara, Tanzania.

Now niko mwaka wa pili kule utumishi Magogoni DSM.
Wakati nasoma Newala day secondary kule Mtwara mwaka wa mwisho I mean form 4, nyumbani jirani yetu alikua na matatizo.

Mume wa huyo mdada alikua anataka kuoa mke wapili ila walikua hawajakubaliana suala ambalo lilimtesa yule dada, baadae mume akaoa kinguvu so mke mkubwa akawa anakesha analia kila siku, majirani tulijaribu kukaa nae na kumsihi ahimili lile suala, ikawa ngum and kila siku ikawa anakuja home na kunisimulia mambo mengi nyuma ya panzia mie nikawa nammbembeleza tu na kumfariji kwa kupga nae story kwa charting text sms.

Nilikua namheshimu kama dada maana kanipita hata miaka 7 nadhan, na amenishuhudia hatua mbali mbali za ukuaji wangu tokea utotoni,
Shida imekuja baada ya mimi kutoka na kuanza chuo, amekuwa akinitumia sms za mapenzi hata mwishowe akasema what's wrong with her to me, akawa analia kila siku akibembeleza nimkubalie nilivyokua nikienda likizo ndo anazidi mpaka watu wakaanza kunihis vibaya.

Sasa now days ndo kanipa mtihani anasema nikirudi atanifanyia kitu mbaya kama simkubalii ku do nae atanitengenezea kesi, na huyo mumewe ni kauzu sana.

Nisaidieni nisolve vipi na nyumbani naitwa na mother naishia kumzungusha guys help me!

Please make it serious, naumia kichwa hili suala
 
Usiendekeze mawasiliano na mke wa mtu. Wewe unaona kabisa anakuvuta kwenda kufanya uzinzi halafu bado hufanyi maamuzi ya kukata mawasiliano?

Fikiria mume wake akipata access ya simu yake na kusoma msg zenu na kujua kumbe mna mawasiliano ya karibu.

"Charting" na mume/mke wa mtu inawapoteza wengi.
 
Usiendekeze mawasiliano na mke wa mtu. Wewe unaona kabisa anakuvuta kwenda kufanya uzinzi halafu bado hufanyi maamuzi ya kukata mawasiliano?

Fikiria mume wake akipata access ya simu yake na kusoma msg zenu na kujua kumbe mna mawasiliano ya karibu.

"Charting" na mume/mke wa mtu inawapoteza wengi.

Brother huyo mtu ana namba yangu tokea niko form one alafu hata nikichange namba bado easy sana kupata akimuambia mama atampa tu coz wote home wanajua kama zamani tu kwamba she z my sister alafu kananipenda tokea hapo so it's too easy kuhusu mawasiliano
 
Samahani wadau,

Thread inautata kidogo ila mnisaidie nakwepaje hili suala.
Mie mwenyeji wa Newala, Mtwara, Tanzania.

Now niko mwaka wa pili kule utumishi Magogoni DSM.
Wakati nasoma Newala day secondary kule Mtwara mwaka wa mwisho I mean form 4, nyumbani jirani yetu alikua na matatizo.

Mume wa huyo mdada alikua anataka kuoa mke wapili ila walikua hawajakubaliana suala ambalo lilimtesa yule dada, baadae mume akaoa kinguvu so mke mkubwa akawa anakesha analia kila siku, majirani tulijaribu kukaa nae na kumsihi ahimili lile suala, ikawa ngum and kila siku ikawa anakuja home na kunisimulia mambo mengi nyuma ya panzia mie nikawa nammbembeleza tu na kumfariji kwa kupga nae story kwa charting text sms.

Nilikua namheshimu kama dada maana kanipita hata miaka 7 nadhan, na amenishuhudia hatua mbali mbali za ukuaji wangu tokea utotoni,
Shida imekuja baada ya mimi kutoka na kuanza chuo, amekuwa akinitumia sms za mapenzi hata mwishowe akasema what's wrong with her to me, akawa analia kila siku akibembeleza nimkubalie nilivyokua nikienda likizo ndo anazidi mpaka watu wakaanza kunihis vibaya.

Sasa now days ndo kanipa mtihani anasema nikirudi atanifanyia kitu mbaya kama simkubalii ku do nae atanitengenezea kesi, na huyo mumewe ni kauzu sana.

Nisaidieni nisolve vipi na nyumbani naitwa na mother naishia kumzungusha guys help me!

Please make it serious, naumia kichwa hili suala

Akili za magogoni
 
Kula mzigo fasta usichezee rupia karibu
na tundu la choo.
 
usikatae mzigo wa bure huo ila kuwa makini mke wa mtu sumu
 
Brother huyo mtu ana namba yangu tokea niko form one alafu hata nikichange namba bado easy sana kupata akimuambia mama atampa tu coz wote home wanajua kama zamani tu kwamba she z my sister alafu kananipenda tokea hapo so it's too easy kuhusu mawasiliano

Anachokiongelea bagain hapo sio suala la huyo mke wa mtu kuwa na namba yako ya simu, ila kile mnachowasiliana nae ndio tatizo. Hawezi kukulazimisha umtumie kitu gani au kukulazimisha uwasiliane nae. Uwe makini.
 
Muonye huyo mwanamke na mtishie kuwa utamjulisha Mumewe au mama yako. Mkanye kabisa usitembee na mke wa mtu kwani unaweza kuja kuolewa nawewe na kuwa mke wa 3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom