Mke wa mtu ananitaka

Teh! Teh! Una utani naye?
 
Shetani anataka kukuingia ili aharibu maisha yako sasa kashindwa kuja direct anamtumia mwanamke, kama alivyomtumia hawa kuasi , mkimbie kama ukoma
 
Unaaibisha jina la taifa bwana.Hicho tu umeshindwa kukitatua aaarrrgh!
 
Angalia tu, usije uziwa janga tu, manake hawa wanawake wa siku hizi ni shiiida
 
Mdau suala la mke wa MTU halihitaj kusaka ushaur ni kuachana nae kabisa kabisa(hapa nakushaur kiiman),unless kama ungekua hujui (hapa nakushaur kiujana)
 
Achana nae usiingize najisi ndan ya ndoa yako ndy mwanzo wa kuleta balaa na mikosi ndani ya familia

Kumbuka Mkeo ni Mwanamke mzuri kuliko wote duniani ndy maana ukaamua kuwa nae maishani
 
Acha kabsaa,mke wa mtu ni sumu,matokeo utakayopata kama utazini Naye ni makubwa kwa duniani na mbinguni."Mshahara wa dhambi ni mauti" Warumi: 6:23.
 
Umefurahi mwenyeweee..... kuwa unapenda na mke wa mtu.....!
 
Watakapokung'oa korodani wenye mke wao urudi pia kuleta feedback hapa,dismayed Nyadikwa
 
Mke wa mtu ni sumu kiongozi. Yasije yakakukuta uione dunia chungu.
 

Imagine mkeo ndo ametoka kumfata jamaa nyumba ya 4 ama ya 5 kumueleza mtu aliyempenda kwamba anampenda., ukiweza kutoka hapo naamini na hapo sasa utaweza kutoka kirahisi.
 
Huo ushauri unaouomba humu jukwaani, nenda kamuombe mumewe I sure atakushauri vizuri tuu...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…